Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Tuyaeewe maandiko ,binafsi sio mfuasi wa hao CCM lakini ukisoma vizuri ibara ya 40 inamruhusu mama Samia kugombea 2025 tuache upotoshaji
Rais Samia kakaa ofisi zaidi miaka 3 hivyo haruhusiwi kugombea 2030 ila kwa kipindi kimoja 2025 anaruhisiwa
Soma Pia: Naombeni kujulishwa kifungu kinachomruhusu Rais Samia kugombea Urais 2025
Rais Samia kakaa ofisi zaidi miaka 3 hivyo haruhusiwi kugombea 2030 ila kwa kipindi kimoja 2025 anaruhisiwa
Soma Pia: Naombeni kujulishwa kifungu kinachomruhusu Rais Samia kugombea Urais 2025