Pre GE2025 Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania iko wazi katika ibara ya 40 inamruhusu Rais Samia kugombea 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118

Attachments

kwamba kuna watu wana dhani kuwa hawezi gombea 2025?

nadhan 2030... hataweza gombea
 
Unanzisha porojo za uongo halafu unazitolea ufafanuzi. Kwani kuna watu walisema katiba hairuhusu Samia kugombea 2025? Watu wanasema uwezo wake ni mdogo hivyo aondolewe na awekwe mwenye uwezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…