Unanzisha porojo za uongo halafu unazitolea ufafanuzi. Kwani kuna watu walisema katiba hairuhusu Samia kugombea 2025? Watu wanasema uwezo wake ni mdogo hivyo aondolewe na awekwe mwenye uwezo.
Unanzisha porojo za uongo halafu unazitolea ufafanuzi. Kwani kuna watu walisema katiba hairuhusu Samia kugombea 2025? Watu wanasema uwezo wake ni mdogo hivyo aondolewe na awekwe mwenye uwezo.