Katiba ya Tanzania inasema nini kuhusu Haki ya Mtu Binafsi

Katiba ya Tanzania inasema nini kuhusu Haki ya Mtu Binafsi

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1_20210111_135929_0000.png


IBARA YA 15

Ni marufuku kwa mtu yeyote kukamatwa, kufungwa, kufungiwa, kuwekwa kizuizini, kuhamishwa kwa nguvu au kunyang’anywa uhuru wake vinginevyo, isipokuwa tu:-

a) Katika hali na kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria; au

b) Katika kutekeleza hukumu, amri au adhabu iliyotolewa na mahakama kutokana na shauri au na mtu kutiwa hatiani kwa kosa la jinai.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom