Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

Siamini hata huyo Mungu wako unaedai ni wa kweli and blah blah

Keep him for yourself

Siamini mungu wala shetani,altogether

Uzuri unajitekenya na kujichekesha mwenyewe...who cares!

MaCCM bwana.....

Yaani u think kuna watoto humu wakusikilize this nonsense you are spewing here?
tuliza mihemko sasa,

kumbe hata haijulikani uko ulimwengu wa Nuru au giza na ndio maana uko hivyo ulivyo, mihemko na hasira za kinyumbu tu badala ya kujadili hoja ya wazi kabisa mezani alaaa🐒
 
Kwa nchi inavyojiendea unashangaa hata Tlaatlaah ana nafasi ya uongozi. Kwanini watu wasipotee? Ila watu kama hawa tulizaliwa nao, tulisoma nao, tunacheka nao. Ni walewale wa kujipendekeza. Unakuta jibaba marafiki zake wote Ni wanawake, hawezi kutofautisha jema au baya.
ndiyo ana nafasi,

si waerevu mnanata, mnaringa na mnajitenga kushiriki uongozi wa kisiasa mkitegemea ushirikina,ramli na miujiza...

hukuna kulalamikia hapa mtaongozwa na wale watakaojitokeza na kushiriki masula ya kidemokrasia mpende msipende, maana katiba nzur sana ya Tanzania ipo na inatuongoza vizuri yanayopaswa kwaajili ya maendeleo ya wananchi 🐒
 
Kama katiba yetu ni nzuri lakini sheria mbovu hivi...

Sipati picha huko kwao sheria zitakua za kishenzi kiasi gani ...
 
tuliza mihemko sasa,

kumbe hata haijulikani uko ulimwengu wa Nuru au giza na ndio maana uko hivyo ulivyo, mihemko na hasira za kinyumbu tu badala ya kujadili hoja ya wazi kabisa mezani alaaa🐒
Mi nina akili ya kujiongoza sina akili ya kufata dini kama wewe

Wewe huna akili ya kujiamulia maisha yako kama mtu huru ni mpaka ufate dini

Hoja zako za kipumbavu....

Mtu huwezi jisimamia mwenyewe kama mtu huru huna lolote la kuniambia regardless
 
Huijui vizuri inakubidi upate elimu kwa kina miaka kama 7 kuanzia leo ndio uje utufafanulie hapa
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Infact,
niko kwenye kundi la katiba bora na nzuri, ya kistaarabu na makini mno ya Tanzania,

najaribu kuwafahamisha ninyi wenye mahaba ya kupitiliza ati Tz nasi tuwe na katiba mpya mbovu inayofanana na ile ya kenya ambayo inawaletea matatizo makubwa mno hao majirani zetu 🐒
Nakuuliza swali,unaianini demokrasia ya upigaji kura? Yaani wajinga wawili wakiungani wanamzidi mwerevu mmoja,au tupigiwe kura na watu maalum tu
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Swala si katiba bora, bali issue ni utekelezaji wa katiba. Je inatekelezwa maana kuna wanasiasa wanaiita kijitabu...
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Nilitegemea udadavue ibara Kwa ibara ,,,yaani nlikua nakimbilia kusoma nikijidanganya eti utaanza
 
Mbi
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mbona umeishia ya Kenya tu na Afrika kusini?
 
.
Kenya chini ya katiba mpya na nzuri sana makamu wa rais kaweza kuiba hela
 
.
Kenya chini ya katiba mpya na nzuri sana makamu wa rais kaweza kuiba hela
Katiba ya kenya ni nzuri sana hakuna umungu mtu kwenye uongozi ukivurunda unaondoka kama wewe na utashitakiwa pia inawafanya wananchi wanaona nchi ni yao kweli wamiliki pia..angalau wanaweza kuandamana bila hofu yyte kudai haki zao na mahakama inasimama kuwatetea bila hofu yyte..

Kwa kweli katiba ya kenya ni ya mfano.
Huku tunaweza kuogoba kwa sababu kudai haki zetu ni kosa zito sana ni kama uhaini vile ndio maana tunao kama kenya hawapo sawa ila unaposema democrasia ndio mfano wa kenya sasa sio haya maigizo yetu.
 
Kama kuandika kwenyewe shida, hiyo akili ya kujua umuhimu wa katiba bora utatoa wapi
Kama wewe akili zako zimetokana na kusoma- wewe na lile robot la Nape hamna tofauti-umetengenezwa; mie nimeumbwa
 
Kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo.

Mbaya zaidi, inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais. Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010.

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila.

Kadhalika, mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya.

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kenya ni nchi ya matabaka, siku zote inakuwa na ubinafsi wa hali ya juu. Pia wanalo tatizo la ardhi yenye rutuba kuwepo katika maeneo machache, sehemu kubwa ni kame sawa na kule Somalia na baadhi ya maeneo ya Ethiopia.

Wanaishi kwa kudanganyana na kudhulumiana, ukiwasikiliza Gen Z wanapolalamika utagundua wamekuwa na matatizo hayo ya kutapeliana kwa muda mrefu.

Hasira za wanaoandamana na wavunjaji wa miundo mbinu ya serikali ni matokeo ya muda mrefu ya hasira zinazolimbikizwa vichwani mwao.

Hakuna cha maana cha sisi kuiga kutoka kwao.
 
Kenya ni nchi ya matabaka, siku zote inakuwa na ubinafsi wa hali ya juu. Pia wanalo tatizo la ardhi yenye rutuba kuwepo katika maeneo machache, sehemu kubwa ni kame sawa na kule Somalia na baadhi ya maeneo ya Ethiopia.

Wanaishi kwa kudanganyana na kudhulumiana, ukiwasikiliza Gen Z wanapolalamika utagundua wamekuwa na matatizo hayo ya kutapeliana kwa muda mrefu.

Hasira za wanaoandamana na wavunjaji wa miundo mbinu ya serikali ni matokeo ya muda mrefu ya hasira zinazolimbikizwa vichwani mwao.

Hakuna cha maana cha sisi kuiga kutoka kwao.
Na wajinga wakiungana,wanaweza kuchagua mfalme ndio nyie hapo.acheni kufananisha Kenya na vitu vya kijinga
 
Na wajinga wakiungana,wanaweza kuchagua mfalme ndio nyie hapo.acheni kufananisha Kenya na vitu vya kijinga
Kenya ndio vitu vya kijinga labda mwenzetu wewe bado mtoto kichwani.

Mwaka mzima ni mwendo wa maandamano na mauaji, Tanzania lini umeona upuuzi wa maandamano mitaani?.
 
Back
Top Bottom