johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna mambo Yako wazi kabisa na hauwezi kumlaumu Rais yoyote wa JMT kwa sababu Katiba imetoa Mwanya
Rais wa JMT ni sawa kabisa na Mfalme ndio sababu first Born wa Rais wa awamu fulani humu Mitandaoni alibatizwa kama Prince
Tangu enzi za Nyerere taasisi ya urais iliwahusu pia Ndugu na Wanafamilia wa Rais
Tunakumbushana tu kuwa ni Katiba
Mlale unono 😀😀
Rais wa JMT ni sawa kabisa na Mfalme ndio sababu first Born wa Rais wa awamu fulani humu Mitandaoni alibatizwa kama Prince
Tangu enzi za Nyerere taasisi ya urais iliwahusu pia Ndugu na Wanafamilia wa Rais
Tunakumbushana tu kuwa ni Katiba
Mlale unono 😀😀