Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
ccm itavuna inachopandaYetu macho huku Meya anavuliwa bila Akidi kutimia,Mkurugenzi anaingiza jina la diwani aliye nje nchi,Tanga Madiwani waliotangaza kujiuzulu na kupokelewa na Katibu Mkuu wa ccm na kuhama viti vyao vya upinzani na kuhamia upande wa ccm mkurugenzi anasema hakuliona,hiyo ndio Tamisemi
Sent using Jamii Forums mobile app
huna hoja
endelea kuamini ujingaWatanzania tunasahau, serikali haziendeshwi kwa maneno wala mikutano ya kwenye majukwaa.
Kama hakuna barua ya kujiuzulu wala kufukuzwa, basi ni madiwani halali.
Dawa ni kuindoa ccm bado miezi nane sema simuoni mpinzani wa kuing'oa ccm hata angetoka ccm kidogo magufuli!
Mbona hujibu swali la msingi?endelea kuamini ujinga
Wamepokelewa na Katibu mkuu wa ccm mbele ya huyo huyo Mkurugenzi wa jiji , hatuandiki hizi taarifa kwa kutunga , hii si mara ya kwanza ccm kufanya hivi , haya yamekwishakutokea pia huko TundumaMbona hujibu swali la msingi?
Kuna ushahidi kuwa wamejiuzulu au kufukuzwa? Hii ni legal issue, tusipende kuweka hisia.
hakika ccm ni makaburuMwenye bomba usishindane nae kwenye folen
Ok lakini kama madiwani wangekuwa wametoka ccm na kujiunga na upinzani bila kumpa taarifa rasmi huyo mkurugenzi ni lazima wangezuiwa kushiriki vikao...!Mkurugenzi wa Jiji ameshasema, yeye hajaona barua zao hao waliojiuzulu mlitaka afanyaje? Wala chama chao hakijamtaarfu kwamba kimewafukuza uanachama!
Kama wamejiuzulu walipaswa wamuandikie barua Mkurugenzi, kwanini chama chao hakijawafukuza mpaka leo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama kitawafukuzaje watu ambao siyo wanachama wao tena na katika kikao wamekaa upande wa chama tawala?Mkurugenzi wa Jiji ameshasema, yeye hajaona barua zao hao waliojiuzulu mlitaka afanyaje? Wala chama chao hakijamtaarfu kwamba kimewafukuza uanachama!
Kama wamejiuzulu walipaswa wamuandikie barua Mkurugenzi, kwanini chama chao hakijawafukuza mpaka leo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuitoa ccm kwa njia ya kuraDawa ni kuindoa ccm bado miezi nane sema simuoni mpinzani wa kuing'oa ccm hata angetoka ccm kidogo magufuli!
Hata kama angewapokea Rais mbele ya Katibu Mkuu Kiongozi, hivi wewe leo mkurugenzi wa kampuni yako atangaze mbele ya watu kuwa umefukuzwa kazi bila kukupa barua, utakuwa umefukuzwa kazi kweli kisa "ametangaza" hadharani?Wamepokelewa na Katibu mkuu wa ccm mbele ya huyo huyo Mkurugenzi wa jiji , hatuandiki hizi taarifa kwa kutunga , hii si mara ya kwanza ccm kufanya hivi , haya yamekwishakutokea pia huko Tunduma