Nawashangaa wanaopiga kelele kuhusu mapendekezo ya SERIKALI TATU!
Bila hata kuangalia sababu zingine ,ni wazi Katiba ya Zanzibar inayotambua Zanzibar kama nchi ndio msingi mkubwa wa mapendekezo ya Muungano wwa kuwa na Serikali tatu!
wATANZANIA TAUCHE UNAFIKI WANAOPIGA KELELE SASA WALITAKIWA WALIONE HILO MAPEMA!
Bila hata kuangalia sababu zingine ,ni wazi Katiba ya Zanzibar inayotambua Zanzibar kama nchi ndio msingi mkubwa wa mapendekezo ya Muungano wwa kuwa na Serikali tatu!
wATANZANIA TAUCHE UNAFIKI WANAOPIGA KELELE SASA WALITAKIWA WALIONE HILO MAPEMA!