Katiba yetu inatishia usalama na uhai wa Rais aliyepo madarakani, tuiangalie kwa jicho la Vita ya madaraka

Katiba yetu inatishia usalama na uhai wa Rais aliyepo madarakani, tuiangalie kwa jicho la Vita ya madaraka

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Wengi alipokabidhiwa kiti cha Urais Mama Samia tulipongeza uzuri wa Katiba tliyonayo hasa kifungu kinachoeleza Rais aliyepo madarakani akifariki Makamu wake anaapishwa kuwa Rais.

Mimi naona haya kama mapungufu makubwa ya katiba hii hasa ikizingatiwa miyoyo ya binadamu Ina Siri kubwa. Mtu mwenye Nia ovu anaweza kuwa mshauri wako wa karibu. Lakini katiba hiyohiyo haitoi mwanya au mamlaka ya wazi Kwa vyombo vya uchunguzi kuchunguza chanzo Cha kifo Cha mtawala au mtu yeyote. Madhara yanatokana na ukweli kwamba Rais ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho yakufuta KAZI na kuajiri bila kulazimishwa kushauriana na mtu yeyote, Kwa mantiki hiyo Makamu wa Rais akishirikiana na wauaji ataapishwa kuwa Rais imedietly. Akiapishwa imedietly anaweza akateua CDF, DGIS, IGP, CGI na Majaji akiwemo hata Jaji Mkuu, DPP, DCI na wengine na baada ya uteuzi akazima kabisa ndoto zakuchunguza Jambo linalotiliwa mashaka ambalo anaamini linamdhuru.

Kwa muktadha hii katibu siyo Rafiki Kwa Rais aliyepo Wala mrithi maana Urais unaisha imedietly after death nakuanza Urais mpya soon after death. Tunashukuru Mungu kwamba miaka yote tumejaaliwa Makamu wa Rais ambao hawana uchu wa madaraka. Ila huku tuendako na matamko yanayotoka ndani ya CCM Tena Kwa viongoz wakubwa ni ushauri wangu kwamba mabadiliko ya katiba yanamwakikishia usalama Rais aliyepo kuliko katiba iliyopo Sasa.

Wazee wa mifumo ebu fumbieni macho eneo hili mboreshe if you think as I do think and imagine. Viumbe wenye uchu wa madaraka wamekuwa wengi sana,tusiwashughulikie Bali tuweke kifungu cha katiba kinadhibiti Makamu wa Rais kujiandaa na kujioni Rais. Tufifishe ndoto ya wenye tamaa kupitia mwanya wa umakamu wa Rais kuwa Rais
 
Kwa kuwa ni ' vita' ya wao kwa wao acha tu wamalizane! Wakiambiwa ishu ya katiba mpya wanawafunga watu!
 
Wengi alipokabidhiwa kiti Cha Urais Mama Samia tulipongeza uzuri wa Katiba tliyonayo hasa kifungu kinachoeleza Rais aliyepo madarakani akifariki Makamu wake anaapishwa kuwa Rais...
Ulicho andika hapa ni scrip ya movie ambayo haitakuja tokea wala kutengenezwa kaa kwa kutulia na labda ukisikiliza wazee unaweza badilisha scrip mbeleni..
 
Wengi alipokabidhiwa kiti cha Urais Mama Samia tulipongeza uzuri wa Katiba tliyonayo hasa kifungu kinachoeleza Rais aliyepo madarakani akifariki Makamu wake anaapishwa kuwa Rais.

Mimi naona haya kama mapungufu makubwa ya katiba hii hasa ikizingatiwa miyoyo ya binadamu Ina Siri kubwa. Mtu mwenye Nia ovu anaweza kuwa mshauri wako wa karibu. Lakini katiba hiyohiyo haitoi mwanya au mamlaka ya wazi Kwa vyombo vya uchunguzi kuchunguza chanzo Cha kifo Cha mtawala au mtu yeyote. Madhara yanatokana na ukweli kwamba Rais ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho yakufuta KAZI na kuajiri bila kulazimishwa kushauriana na mtu yeyote, Kwa mantiki hiyo Makamu wa Rais akishirikiana na wauaji ataapishwa kuwa Rais imedietly. Akiapishwa imedietly anaweza akateua CDF, DGIS, IGP, CGI na Majaji akiwemo hata Jaji Mkuu, DPP, DCI na wengine na baada ya uteuzi akazima kabisa ndoto zakuchunguza Jambo linalotiliwa mashaka ambalo anaamini linamdhuru.

Kwa muktadha hii katibu siyo Rafiki Kwa Rais aliyepo Wala mrithi maana Urais unaisha imedietly after death nakuanza Urais mpya soon after death. Tunashukuru Mungu kwamba miaka yote tumejaaliwa Makamu wa Rais ambao hawana uchu wa madaraka. Ila huku tuendako na matamko yanayotoka ndani ya CCM Tena Kwa viongoz wakubwa ni ushauri wangu kwamba mabadiliko ya katiba yanamwakikishia usalama Rais aliyepo kuliko katiba iliyopo Sasa.

Wazee wa mifumo ebu fumbieni macho eneo hili mboreshe if you think as I do think and imagine. Viumbe wenye uchu wa madaraka wamekuwa wengi sana,tusiwashughulikie Bali tuweke kifungu cha katiba kinadhibiti Makamu wa Rais kujiandaa na kujioni Rais. Tufifishe ndoto ya wenye tamaa kupitia mwanya wa umakamu wa Rais kuwa Rais
Katiba yetu ni nzuri, inatoa mwanya wa Rais mpuuzi kuondolewa kiungwana au kimafia bila kuzua taharuki mtaani. Iendelee kutumika kwa ustawi wa taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom