mimi naona katiba hii mpya izingatie mawazo ya wananchi zaidi kupata viongozi ambao watasimamia maendeleo ya watu husika na sehemu husika kama wakuu wa wilaya wachaguliwe na wananchi na mkuu wa wilaya awe na mamlaka ya kutosho na sio mkurugenzi ndio awe na mamlaka ya maendeleo ya wilaya husika.ikiwa hivi wananchi hatuoni kazi ya mkuu wa wilaya ikwa hata afisa mtendaji anashindwa kumuwajibisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.