Nilivyomsoma warioba na tume yake, ni kwamba uamuzi wa serikali tatu umechangiwa hata na wakuu wa serikali, sasa iweje tuwachanganye wananchi na wajumbe walioko huko bungeni kwamba watetee serikali mbili hata kwa fujo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.