Bin Chuma JF-Expert Member Joined Dec 13, 2013 Posts 313 Reaction score 244 Mar 19, 2014 #1 Nilivyomsoma warioba na tume yake, ni kwamba uamuzi wa serikali tatu umechangiwa hata na wakuu wa serikali, sasa iweje tuwachanganye wananchi na wajumbe walioko huko bungeni kwamba watetee serikali mbili hata kwa fujo?
Nilivyomsoma warioba na tume yake, ni kwamba uamuzi wa serikali tatu umechangiwa hata na wakuu wa serikali, sasa iweje tuwachanganye wananchi na wajumbe walioko huko bungeni kwamba watetee serikali mbili hata kwa fujo?