Katiba

Ayo ni maoni yako

Laizer naona umechoka, mbona umeanza kuwa na hoja nyepesi hivyo? Nimekubali kwamba ndg umechoka, Sababu yako hiyo ni dhahania kwasababu huzuiliwi kufikri na sii kila ukifikiri unaweza kufikiri sahihi, wewe fikra yako umekosea. Waache Watanzania waisome Katiba Inayopendekezwa ili waamue hatima ya nchi yao.
 


Me Pia ni MTANZANIA Na Nimeisoma KATIBA Yenyewe Na Ikanifanya nifil kwamba me sio MTANZANIA kutokana na kilichoandikwa humo kwa hyo unaposema waache Watanzania waisome utakua umekosea hapo.

Na ujue uelewa wako na wangu na ya mtu mwingne ni tofauti kwa hyo usitake kunilazimisha eti niikubali KATIBA ILIYOPENDEKEZWA Kwa KURA ya NDIYO.

Sheria yenyewe inaniruhusu nipige kura ya
•NDIYO
•HAPANA na KUHARIBU Pia.

Hivyo maamuzi uliyonayo wewe ni tofauti na maamuzi yangu.

THEN Unaposema Niwaache WATANZANIA Waisome hii KATIBA Itakuaje kwa wale wazazi wetu na baadhi ya Vijana wasiojua kusoma?

Wee unaeitetea hii KATIBA Mmeandaa njia gani ya kuwaelewesha hao ili nao wajue kilichoandikwa?
 
hayo mengine wala hayakuhusu, cha msingi ujue kuwa katiba unapaswa kuisoma vizuri so kusomea nimeielewa afu unakuja kubishia kitu ambacho kimeandikwa vema ktk katib hiyo hiyo, hapo unachemka.
 
  1. Umejiandikisha kupiga Kura tayari katika Daftari la kudumu la mpiga kura?
  2. umeisoma Katiba na kuielewa kabla ya 30/ April/2015
  3. Kwanini Wabunge wameondoa kipengele cha wao kuwajibishwa na wananchi,
  4. Kwanini Rais hana maamuzi magumu na wananchi hawaruhusiwi kuhoji Katiba pendekezi ya Chenge?
    • Nyoka mwenye Makengeza kachota vijisenti vya Rada
    • Vijisenti kawauza kinadada wa Mwanza waliokuwa ktk Bajaj hajashtakiwa
    • Ruge kampasia pande la ESCROW nyoka mwenye Makengeza na wote wanapeta
    • Nyoka mwenye Makengeza kamgomea Jaji Msumi Mwenyekiti wa Tume ya Maadili mpaka leo kimya
  5. Kwa upande wa Zanzibar hawajaandikishwa na wana Katiba yao hii ya kwetu ni ya pili niambie ni kwanini hatuwaachii na maamuzi yao?
  6. unaelewa maana ya kura ya HAPANA? na ikipigwa mara ya pili ni nini kinafuata
  7. unahabari Katiba mpya ni mpaka 2018 kwa sasa tunaendelea na hii iliyopo?
  8. Nakushauri baki na hii iliyopo kwani siku zimeisha na hujaelimishwa.
usiogope kubishana Wabunge wako wenyewe wanabishana kuhusu Katiba hii pendekezi
 





Ukwaju Umesomekaaaaaa
l
l
Ahsanteee sana
 
Eti Kura ya NDIYO?

Kwa misingi ipi walioiweka?

HAPANA


Ndugu yangu dada Mwasi kakutajia hivyo vifungu sasa badala ya kuvisoma unamuuliza misingi ipi iliyowekwa hata mimi nilikua najaribu kuangalia hapo nikaona amejitahidi kuitaja utu na udugu,kujitegemea, haki ,usawa amani na utulivu umoja na mshikamano katika taifa, hii ndio misingi ambayo taifa letu limejengwa! Asante ndugu yangu kwa kunielewa kama bado tusaidiane tu maana sote ni watanzania na Katiba hii ni yetu.
 
Wanaojua ni wewe!?

Ha ha ha Brother Laizer chondechonde msivutane bwana kikubwa ni kueleweshana una mambo kibao unayajua yaweke hapa na huyo Ebola naye anayo ya kwake anayoyajua ambayo wewe huna basi msaidiane huo ndio uungwana.
 
Ukwaju Umesomekaaaaaa
l
l
Ahsanteee sana

Ukwaju hata mimi nimekupata, huyo nyoka wa makengeza mmemuona wapi jamani?nyoka na katiba wapi na wapi nimeona umeeleza mambo mengi kwa wakati mmoja jambo ambalo sio zuri sana katika kujenga hoja yenye nguvu, tuyaache hayo mimi naomba tueleweshane ya Zanzibar,

Mimi nachokijua na ndivyo ilivyo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina mamlaka yake, Sura ya 11 ile sehemu ya kwanza, Ibara ya 163; (1) Inaeleza kuwa kutakuwa na Serikali ya Zanzibar itakayojulikana kama Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar nadhani Ukwaju hapo unanipata vyema, Serikali hiyo itakuwa na mamlaka katika Zanzibar juu ya mambo yote yasiyo ya Muungano kwa mujibu wa masharti ya katiba hii.

(2) Inasomeka, Bila kuathiri masharti yaliyomo katika ibara zifuatazo katika sura hii, Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar itaundwa na kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Kuhusu Rais wa Zanzibar na Mamlaka yake naomba usome Ibara ya 164; (1) na (2) imeeleza vizuri. Kwa hiyo hakuna haja ya kulaumu kuwa Zanzibar haina haki wala mamlaka sio kweli soma vizuri brother.
 
Shikamoooo kaaatiba!HAPANA
Nchi ni muhimu kuliko mawazo haya ya kusema katiba inayopendekezwa haifai kwa kuwa ni lazima tutambue kuwa watanzania wenyewe kwa ridhaa yao wenyewe waliamua kuanzisha mchakato wa katiba mpya,ambapo kwa sasa tumeshapata katiba inayopendekezwa na cha muhimu ni kuisoma na kuielewa ili tuweze kuwasaidia wale wachache ambao wamekengeuka na kukosa uzalendo hadi kufikia hatua ya kuwazarau watanzania walioamua kuanzisha mchakato huu,ni wajibu wetu kusaidiana kuwarudisha wale wanaopotoka na kushiriki katika kueneza propaganga zenye chuki na maneno ya fitna.
 
haha! Tz hainaga WAZALENDO Asee

wapo WANYONYAJI Na wazee wa kufos
Kijana kama kweli nikijana basi jitahidi uje na hoja sio kuleta mambo ya kijiweni. Eti wazalendo tanzania hakuna! Wewe ndo sio mzalendo, wazalendo tupo wengi. Ili uwe mzalendo hebu badilika sasa na uanze kuhamasisha watu kuiosoma Katiba Inayopendekezwa ili wasiwe na blank statements kama wewe. Jitahidi punguza kwenda vijiweni ili uanze kusoma Katiba. Ukiweza hilo utakuwa kijana mzuri kama we ni kibabu utamalizia uzee wako vizuri. Nadhani umenielewa.
 
  • Hayo ya Chenge tuyaache kwani nilitaka kuonesha katiba pendekezi nitaipigia KURA YA HAPANAna sababu zenyewe ni nyingi hiyo ya ubabe wa Chenge ikiwa ni mojawapo
  • Zanzibar kumtimua Mwanasheria Othman nayo yalikuwa ni makosa kwani naye aliwakilisha maoni yake na ya Wazanzibar wakati CCM ilitaka awakilishe na kupigia kura matakwa yaokwani yeye alitaka eneo la Zanzibar lisiwe eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa maana nyingine alitaka Zanzibar itambulike ikiwa ina eneo lake wenyewe kinyume na sera ya CCM.
  • Soma Ibara 99 Makamu wa Rais Watatu Rais wa Zanzibar atakuwa Makamu wa pili
  • Ibara 114 atakuwa katika Baraza laMawaziri na ataapa Kwa Raus wa Muungano (lkn Rais akifika Zanzibar hana Mamlaka yeyote) sasa kwa nini Katiba ya Nyoka wa Makengeza inaficha ZANZIBAR NI DOLA
  • Soma Ibara 107 (1) soma pia (2) na (3)
(hatakuwa na Mamlaka yeyote hata Rais wa muungano km hatakuwepo)​
piga kura ya HAPAMA tuanze tena mchakato wa huru na Wenzetu Zanzibar wahusike kikamilifu
 

Ushindwe na ulegeee we hanisi, dua la kuku halimpati mwewe hata siku moja, we endelea na porjo zako hizo afu uone kama mtafanikiwa na hayo mambo yenu.
 
hapana kwa sababu mpaka leo sijaisoma kila ninapoifuata naambiwa zimekwisha na pia vipengele vingi vimetolewa.haifai kwa sisi vijana.na pia mpaka sasa vijana wengi hatujaandikishwa kwa nini kama huu sio uonevu wa kutunyima haki yetu ya msingi?
 
hapana kwa sababu mpaka leo sijaisoma kila ninapoifuata naambiwa zimekwisha na pia vipengele vingi vimetolewa.haifai kwa sisi vijana.na pia mpaka sasa vijana wengi hatujaandikishwa kwa nini kama huu sio uonevu wa kutunyima haki yetu ya msingi?

Wewe usiwe wa kusikiliza maneno ya watu, sasa wewe umesema hujaipata kwanini unaamini kuwa mambo mengi yametolewa je umethibitisha hilo wewe mwenyewe kwa macho yako? akili ya kuambiwa changanya na zako, hakuna mambo yaliyoondolea huo ni uvumi wa watu wasioutakia mema mchakato huu wa katiba mpya, hakuna uonevu wowote kama unavyodhani kwani serikali haiwezi kuwa onevu kwa wananchi wake.
 
Ushindwe na ulegeee we hanisi, dua la kuku halimpati mwewe hata siku moja, we endelea na porjo zako hizo afu uone kama mtafanikiwa na hayo mambo yenu.
ushindwe na ulegee makalio yako hanisimsenge
nagalia post na majibu yake km hayakuhusu PITA
unashauriwa kapige kura ya NDIYO nenda basi
Bunge lenyewe limeshindwa sembuse kimbulumkuti ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…