Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Ayo ni maoni yako
Laizer naona umechoka, mbona umeanza kuwa na hoja nyepesi hivyo? Nimekubali kwamba ndg umechoka, Sababu yako hiyo ni dhahania kwasababu huzuiliwi kufikri na sii kila ukifikiri unaweza kufikiri sahihi, wewe fikra yako umekosea. Waache Watanzania waisome Katiba Inayopendekezwa ili waamue hatima ya nchi yao.