KATIBU CHAMA CHA SOKA MOROGORO APANDISHWA KIZIMABI KWA RUSHWA

KATIBU CHAMA CHA SOKA MOROGORO APANDISHWA KIZIMABI KWA RUSHWA

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
By Dick Dauda -

September 2, 2016
newdauda.png



Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Morogoro, imempandisha tena kizimbani Katibu wa chama cha soka Manispaa ya Morogoro Kafari Maharagande anayedaiwa kutoa rushwa ya chakula chenye thamani ya shilingi za Tanzania milioni moja kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho.

Upelelezi wa shitaka la hilo umekamilika na kesi hiyo inatarajia kuanza kusikilizwa September 15 mwaka huu.
 
Back
Top Bottom