Katibu Mkuu CCM kukaimiwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Anamringi Macha. Ni bada ya Chongolo kujiuzulu

Naomba kuuliza hivi ukikashifiwa ndio unajiuzulu au?
 
Zilivyjishwa chat zake na anayesemekana ni kimada wake, huku akimrushia picha ya uume wake.
Yaani unakuta umekufa Kwa chenchede linakwambia dia nitumie ndurute niione Ili nipate usingizi..

Nawewe pasi kuwaza Kwa kina picha mpwiiii unatuma...duh
 
Rahisisha code! Mzee wa Canada ni nani?
 
Hakuna anachofuatilia. Anaenda kuandaa vijembe na vichambo kama alivyofanya kwa Ndugai.
 
 
Paragraph ya mwisho umeongea point kubwa sana ambayo hata wasomi wengi hawawezi kuisema hadharani

Viongozi wa Afrika hawako tayari kujifunza kupitia historia, wanajiendea endea tu kana kwamba hawana cha kujifunza kwa watangulizi wao

Watu huwa hawaelewi kuwa binadamu tunajifunza kutokana na mazuri na mabaya. Aliyetangulia akiharibu maana yake anayekuja anakuwa amerahisishiwa asirudie kosa kama lililotokea. Ni viongozi wachache sana wanaoliishi hili
 
Ile historia ya ufashisti na unazi huko Ulaya pamoja na mapinduzi makubwa yaliyoleta vifo na umwagikaji wa damu vilifanya iwe funzo na historia iliyoibadili ulaya kwa kiasi kikubwa sana!

Hapa Afrika mtu anasumbuliwa na mafuriko kila mwaka na mvua ikipita anasahau.... mwafrika sio mtu wakujifunza kwa historia.
 
Mangi kakabidhiwa mikoba. Lazima kieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…