Katibu Mkuu CCM kukaimiwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Anamringi Macha. Ni bada ya Chongolo kujiuzulu

Kaimu anakaimu wakati KM amesafiri au anaugua. Lakini kwa huyu Chongolo ameondoka na hayupo. Samia kampa Anamringi kama probation, akikidhi anaachiwa moja kwa moja
Polepole apewe ili wahuni wanaotaka kumkwamisha maza wadhibitiwe πŸ˜…πŸ™πŸ™
 
Kaimu anakaimu wakati KM amesafiri au anaugua. Lakini kwa huyu Chongolo ameondoka na hayupo. Samia kampa Anamringi kama probation, akikidhi anaachiwa moja kwa moja
Anakaimu wakati ambapo nafasi ya katibu mkuu iko wazi kwa sababu yoyote ile. Nafasi ya katibu mkuu iko wazi kwa sababu ya katibu mkuu kujiuzulu na bado halmashauri kuu haijateua mwanachama mwingine kuchukua wadhifa huo,hivyo basi anayefata kimadaraka kwenye mnyororo wa madaraka ndo anakaimu hiyo nafasi na wala sio kwamba amepewa ila ilikuwa ni lazima akaimu yeye. Ili asikaimu ilibidi yeyote atakayeletwa awe ameteuliwa rasmi kama katibu mkuu na sio kaimu tena.
 
Wachoke mara mbili? Au huu ukimya na uoga unadhani ndio kuridhika? Kutoka barabarani ni hatua inayofuata, hatua namba Moja ilikuwa ni kutengeneza ushawishi, kitendo Cha kusema watu wanaweza kuingia barabarani, hiyo ni hatua namba Moja.

Unampaka Mbowe mafuta kwa mgongo wa chumba sio? Kwa taarifa yako mwenye ushawishi huko cdm ni Lisu Wala sio Mbowe. Mbowe anaweza kukiburuza chama chake kishiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi ili mumpe backup ya biashahara zake, lakini Hana ushawishi tena wa maana kwa wapiga kura.
 
Cha kusikitisha huyo mwenye ushawishi mlimuwacha peke yake kwanini?
 
Cha kusikitisha huyo mwenye ushawishi mlimuwacha peke yake kwanini?
Kwani hata alipokuwa anaenda bungeni watu waliacha kazi zao wakaenda naye bungeni? Kila jambo Lina wakati wake, yeye ameshatekeleza wajibu wake wa kuhamasisha, hatua inayofuata ni ya kwetu wananchi.
 
Kwani hata alipokuwa anaenda bungeni watu waliacha kazi zao wakaenda naye bungeni? Kila jambo Lina wakati wake, yeye ameshatekeleza wajibu wake wa kuhamasisha, hatua inayofuata ni ya kwetu wananchi.
Tindo ndugu yangu kubali chadema imepoteza mvuto na ushawishi agenda ya ufisadi ilizikwa wapi sijui!
 
Hilo jina Anamringi nikajua mwanamke...kweli siasa zimenipitia kushoto...
 
Tindo ndugu yangu kubali chadema imepoteza mvuto na ushawishi agenda ya ufisadi ilizikwa wapi sijui!
Cdm wamepoteza mvuto, au dhalimu ndio alipotezea siasa mvuto baada ya kunajisi uchaguzi? Au unadhani hatujui nani aliharibu hamasa ya siasa hapa nchini?
 
Cdm wamepoteza mvuto, au dhalimu ndio alipotezea siasa mvuto baada ya kunajisi uchaguzi? Au unadhani hatujui nani aliharibu hamasa ya siasa hapa nchini?
Eidan khenani , Halima mdee &crew wapo mjengoni nyinyi kaeni hivyo hivyo!
 
Eidan khenani , Halima mdee &crew wapo mjengoni nyinyi kaeni hivyo hivyo!
Ache kuwepo tu bungeni, wapeni hata uspika lakini hatuna muda na hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…