Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
"Yanga hawakushiriki michuano ya Kagame Cup msimu uliyopita pia kumbukeni wao sio Mabingwa wa Tanzania, hatutawamisi katika michuano hii acha wajitoe hatujali ikiwa watacheza ligi ya mabingwa barani Afrika msimu huu kawaida yao huko ni kufungwa magoli 5-0 au 6-0 isingetusaidia lolote kama wangeshiriki na hatuathiriki lolote kwa kujitoa kwao"
Nicholaus Musonye
-Katibu Mkuu wa CECAFA
Nicholaus Musonye
-Katibu Mkuu wa CECAFA