antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Mbona mnatapatapa?
Mnyika anajielewa.
Mnyika anajielewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wote ndio wapo hivyo.CCM wengine bwana!
Nasikia wanataka wakununue na wewe kwa Dili nono ,,na wewe utakataa kama Mnyika?Moja kati ya vijana shupavu, hodari na wanaojielewa na wasioyumbishwa mmoja wapo ni Mnyika, mulisafa sana kutaka kumnunua kwa dili nono sana mkaangukia pua.
Nadhani uko kwenye kundi la post#22 hapo juuNaskia wanataka wakununue na wewe kwa Dili nono ,,na wewe utakataa kama Mnyika?
Masisiemu mmeshindwa kabisa. Mnatumbia mbinu za kumtisha John Mnyika mnadhani ataogopa?Mh. Mnyika Katibu Mkuu CHADEMA, kwa sasa wajumbe wa Kamati kuu wanakuangalia kwa pande mbili, pande ya kwanza kukikosesha chama kupata ruzuku kwa kutopeleka majina ya wabunge viti maalum, upande wa pili kuwasababishia wanachama kukosa ajira ya uteuzi wa kuwakilisha hoja za chama chenu bungeni.
Ukikosea mahesabu hayo, hiyo nafasi watapewa wenye chama muda si mrefu. Zakuambiwa changanya na zakwako.
Maendeleo hayana Chama
Wewe utapungukiwa na nini akitenguliwa?Mh. Mnyika Katibu Mkuu CHADEMA, kwa sasa wajumbe wa Kamati kuu wanakuangalia kwa pande mbili, pande ya kwanza kukikosesha chama kupata ruzuku kwa kutopeleka majina ya wabunge viti maalum, upande wa pili kuwasababishia wanachama kukosa ajira ya uteuzi wa kuwakilisha hoja za chama chenu bungeni.
Ukikosea mahesabu hayo, hiyo nafasi watapewa wenye chama muda si mrefu. Zakuambiwa changanya na zakwako.
Maendeleo hayana Chama
Ndiyo maana hajawahi kulia shida.Masisiemu mmeshindwa kabisa. Mnatumbia mbinu za kumtisha John Mnyika mnadhani ataogopa?
John Mnyika ni mtu anayejitambua, anajua cheo ni dhamana, hakuna madaraka ya kudumu chini ya dua, hata uwe dikteta
Naona kwenye utawala huu teuzi za nafasi za umma zimegeuka kuwa 'shukrani' kwa waunga juhudi na wanaomsifia 'bwana yule'.Kijana hodari na mchapakazi,na hakika atarudi nyumbani na atapewa teuzi kama shukrani kwake,wala asiwaze kipigwa chini na wafipa.
Mnyika mbona anapata uteuzi muda si mrefu ndio mtakaposhangaa usiusemee moyo w mtuMoja kati ya vijana shupavu, hodari na wanaojielewa na wasioyumbishwa mmoja wapo ni Mnyika, mulisafa sana kutaka kumnunua kwa dili nono sana mkaangukia pua.
Kajitu kapumbavu kameandika.Mh. Mnyika Katibu Mkuu CHADEMA, kwa sasa wajumbe wa Kamati kuu wanakuangalia kwa pande mbili, pande ya kwanza kukikosesha chama kupata ruzuku kwa kutopeleka majina ya wabunge viti maalum, upande wa pili kuwasababishia wanachama kukosa ajira ya uteuzi wa kuwakilisha hoja za chama chenu bungeni.
Ukikosea mahesabu hayo, hiyo nafasi watapewa wenye chama muda si mrefu. Zakuambiwa changanya na zakwako.
Maendeleo hayana Chama