Katibu mkuu CHADEMA, Mnyika umetegwa ukitegeka nafasi yako wanachukua wenye chama chao

Katibu mkuu CHADEMA, Mnyika umetegwa ukitegeka nafasi yako wanachukua wenye chama chao

CCM wengine bwana!
CCM wote ndio wapo hivyo.
Hawana hoja.
Hawawezi kujibu hoja.
Hawawezi kujenga hoja.
Hawawezi kutetea hoja.
Wao wanaweza viroja.
IMG-20201026-WA0004.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh. Mnyika Katibu Mkuu CHADEMA, kwa sasa wajumbe wa Kamati kuu wanakuangalia kwa pande mbili, pande ya kwanza kukikosesha chama kupata ruzuku kwa kutopeleka majina ya wabunge viti maalum, upande wa pili kuwasababishia wanachama kukosa ajira ya uteuzi wa kuwakilisha hoja za chama chenu bungeni.

Ukikosea mahesabu hayo, hiyo nafasi watapewa wenye chama muda si mrefu. Zakuambiwa changanya na zakwako.

Maendeleo hayana Chama
Masisiemu mmeshindwa kabisa. Mnatumbia mbinu za kumtisha John Mnyika mnadhani ataogopa?
John Mnyika ni mtu anayejitambua, anajua cheo ni dhamana, hakuna madaraka ya kudumu chini ya dua, hata uwe dikteta
 
Mh. Mnyika Katibu Mkuu CHADEMA, kwa sasa wajumbe wa Kamati kuu wanakuangalia kwa pande mbili, pande ya kwanza kukikosesha chama kupata ruzuku kwa kutopeleka majina ya wabunge viti maalum, upande wa pili kuwasababishia wanachama kukosa ajira ya uteuzi wa kuwakilisha hoja za chama chenu bungeni.

Ukikosea mahesabu hayo, hiyo nafasi watapewa wenye chama muda si mrefu. Zakuambiwa changanya na zakwako.

Maendeleo hayana Chama
Wewe utapungukiwa na nini akitenguliwa?
 
Kijana hodari na mchapakazi,na hakika atarudi nyumbani na atapewa teuzi kama shukrani kwake,wala asiwaze kipigwa chini na wafipa.
Naona kwenye utawala huu teuzi za nafasi za umma zimegeuka kuwa 'shukrani' kwa waunga juhudi na wanaomsifia 'bwana yule'.
 
Moja kati ya vijana shupavu, hodari na wanaojielewa na wasioyumbishwa mmoja wapo ni Mnyika, mulisafa sana kutaka kumnunua kwa dili nono sana mkaangukia pua.
Mnyika mbona anapata uteuzi muda si mrefu ndio mtakaposhangaa usiusemee moyo w mtu
 
Mh. Mnyika Katibu Mkuu CHADEMA, kwa sasa wajumbe wa Kamati kuu wanakuangalia kwa pande mbili, pande ya kwanza kukikosesha chama kupata ruzuku kwa kutopeleka majina ya wabunge viti maalum, upande wa pili kuwasababishia wanachama kukosa ajira ya uteuzi wa kuwakilisha hoja za chama chenu bungeni.

Ukikosea mahesabu hayo, hiyo nafasi watapewa wenye chama muda si mrefu. Zakuambiwa changanya na zakwako.

Maendeleo hayana Chama
Kajitu kapumbavu kameandika.
 
Back
Top Bottom