Katibu Mkuu Kiongozi, waelekeze watendaji serikalini watoe mawasiliano yao ili wananchi wawape taarifa

Katibu Mkuu Kiongozi, waelekeze watendaji serikalini watoe mawasiliano yao ili wananchi wawape taarifa

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Ili kupunguza malalamiko mitandaoni yanayopelekea viongozi wa kisiasa kutumbua Watumishi wa umma nakushauri uwaelekeze wakurugenzi, wakuu wa taasisi na Makatibu wakuu waweke wazi njia za mawasiliano Kama Nampa ya simu, WhatsApp na email ambazo jumbe zitakazotumwa zitawafikia wao tu bila kusomwa na watu wengine.

Wakitoa mawasiliano yao na wakajiwekea utaratibu wakuchunguza au kufuatilia taarifa wanazopewa Kisha kutoa mrejesho kwa wasiri itasaidia sana kupunguza malalamiko kwenye upatikanaji wa huduma.

Lakini pia itapunguza sana mrundikano wa issues zinazomsubiri Mhe. Rais afanye mkutano na wannnchi ndipo watoe nyongo. Wateule wajiweke karibu na jamii wapate taarifa za Nini kinaendelea kuliko kujifungia bila taarifa Hadi watumbuliwe.

Lakini pia watoa taarifa walindwe kisheria na ikibainika mpewa taarifa amezivujisha Basi atumbuliwe.

My advice
 
Ni kweli kabisa, sababu malalamiko mengi hayawafikii wao moja kwa moja, wa chini wanayaminya...
 
Ili kupunguza malalamiko mitandaoni yanayopelekea viongozi wa kisiasa kutumbua Watumishi wa umma nakushauri uwaelekeze wakurugenzi, wakuu wa taasisi na Makatibu wakuu waweke wazi njia za mawasiliano Kama Nampa ya simu, WhatsApp na email ambazo jumbe zitakazotumwa zitawafikia wao tu bila kusomwa na watu wengine.

Wakitoa mawasiliano yao na wakajiwekea utaratibu wakuchunguza au kufuatilia taarifa wanazopewa Kisha kutoa mrejesho kwa wasiri itasaidia sana kupunguza malalamiko kwenye upatikanaji wa huduma.

Lakini pia itapunguza sana mrundikano wa issues zinazomsubiri Mhe. Rais afanye mkutano na wannnchi ndipo watoe nyongo. Wateule wajiweke karibu na jamii wapate taarifa za Nini kinaendelea kuliko kujifungia bila taarifa Hadi watumbuliwe.

Lakini pia watoa taarifa walindwe kisheria na ikibainika mpewa taarifa amezivujisha Basi atumbuliwe.

My advice
KMK Naye mawasiliano yake au kumpata ni changamoto. Hivyo mfumo ni huo huo
 
Serikali ipo kuanzia ngazi ya mtaa na kijiji
Mtoa taarifa anaweza toa taarifa sehemu mbili Polisi au Kiongozi wa eneo lilo karibu yake,
Au kwa kiongozi yeyote anaye muamini kuwa anaweza kushughulikia tatizo au kero yake.
 
Back
Top Bottom