Katibu Mkuu mpya wa CCM: Mwendo wa kupandishwa vyeo, wapya wataharibu 'formula'

Katibu Mkuu mpya wa CCM: Mwendo wa kupandishwa vyeo, wapya wataharibu 'formula'

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Pamoja na ramli zote zinazopigwa kwenye uteuzi wa Katibu Mkuu mpya wa CCM, taarifa za ndani ya chama zinaanika wazi kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM atakuwa ni Komredi Rodrick Mpogolo ambaye kwasasa ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara.

Uteuzi wake ambao utafanyika wakati wowote kuanzia juma hili unatajwa kama kumpandisha cheo kutoka alichonacho hivi sasa pamoja na kulinda 'chemistry' iliyopo katika timu ya uongozi wa CCM Taifa.

Nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi bado inachakatwa ili kumpata 'muongeaji' mahiri wa chama. Hiyo nayo ikiwa tayari, nitarudi kuwahabarisha.

Corona ipo, tuchukue tahadhari na hatua satahiki!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Makao Mkuu ya CCM-Dodoma)
 
Binafsi nilimfahamu Mpogoro tangu alipokuwa katibu wa CCM wilayani Chato, ni mchapakazi asiyeyumbishwa na changamoto ndogo ndogo bila shaka ataitendea haki nafasi ya ukatibu mkuu CCM endapo atateuliwa.
Kama hujui kitu siyo vibaya kuuliza. Ati binafsi yako unamfahamu Mpogoro tangu alipokuwa katibu wa CCM wilaya ya Chato! Nikujulishe kuwa Lodrick Mpogoro hajawahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Chato. Alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato.
 
Chemistry gani wakati msemaji na muamuaji ni yuleyule? Chemistry inatakiwa iende kwa mfumo equation ambalo limebalance.
Sasa hapa chama kimewekwa mfukoni mwa ngosha hiyo chemistry iko wapi?
 
Binafsi nilimfahamu Mpogoro tangu alipokuwa katibu wa CCM wilayani Chato, ni mchapakazi asiyeyumbishwa na changamoto ndogo ndogo bila shaka ataitendea haki nafasi ya ukatibu mkuu CCM endapo atateuliwa.
Kwa hiyo link ya Chato basi hana mpinzani
 
Kama hujui kitu siyo vibaya kuuliza. Ati binafsi yako unamjua Mpogoro kama katibu wa CCM wilaya ya Chato! Nikujulishe kuwa Lodrick Mpogoro hajawahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Chato. Alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato.
Bonge la connection na Chato. Hana mpinzani, ni huyuhuyu
 
Kiongozi #vuta nkuvute hivi hapo kirumba mnatumia dawa gani kujikinga na covid.....!

Sababu huku mtaani hali ni tete.
 
Safu inapangwa kwa ambao wataratibu vyema mchakato wa kumpa Magufuli muhula mwingine baada ya 2025.

Magufuli ni mtu mwoga sana hawezi ishi nje ya duara la madaraka.
Kabisa, na ana ulevi wa wazi wa madaraka.
 
Kama hujui kitu siyo vibaya kuuliza. Ati binafsi yako unamfahamu Mpogoro tangu alipokuwa katibu wa CCM wilaya ya Chato! Nikujulishe kuwa Lodrick Mpogoro hajawahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Chato. Alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato.

Tofauti iko wapi hapo, si ndio hayo hayo?
 
Nashauri nafasi ya katibu itakadi na uenezi apewe Haji Manala Bugatti atatufaa Sana.😎
 
Dogo konda a.k.a Bashite lazima tumpe shavu, dogo kasugua sana benchi
 
Pamoja na ramli zote zinazopigwa kwenye uteuzi wa Katibu Mkuu mpya wa CCM, taarifa za ndani ya chama zinaanika wazi kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM atakuwa ni Komredi Rodrick Mpogolo ambaye kwasasa ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara.

Uteuzi wake ambao utafanyika wakati wowote kuanzia juma hili unatajwa kama kumpandisha cheo kutoka alichonacho hivi sasa pamoja na kulinda 'chemistry' iliyopo katika timu ya uongozi wa CCM Taifa.

Nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi bado inachakatwa ili kumpata 'muongeaji' mahiri wa chama. Hiyo nayo ikiwa tayari, nitarudi kuwahabarisha.

Corona ipo, tuchukue tahadhari na hatua satahiki!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Makao Mkuu ya CCM-Dodoma)
Kama umekosa 1000 basis baki na VIMA yako nyumbani.
Huyu mtu ni kichaa sema Chama kinamsitiri
 
Pamoja na ramli zote zinazopigwa kwenye uteuzi wa Katibu Mkuu mpya wa CCM, taarifa za ndani ya chama zinaanika wazi kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM atakuwa ni Komredi Rodrick Mpogolo ambaye kwasasa ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara.

Uteuzi wake ambao utafanyika wakati wowote kuanzia juma hili unatajwa kama kumpandisha cheo kutoka alichonacho hivi sasa pamoja na kulinda 'chemistry' iliyopo katika timu ya uongozi wa CCM Taifa.

Nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi bado inachakatwa ili kumpata 'muongeaji' mahiri wa chama. Hiyo nayo ikiwa tayari, nitarudi kuwahabarisha.

Corona ipo, tuchukue tahadhari na hatua satahiki!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Makao Mkuu ya CCM-Dodoma)
Hizi ndiyo tetesi za watu wazima. Siyo yanakuja mapisikali na tetesi za mapisikali menzao akina Makonda
 
Back
Top Bottom