Katibu Mkuu mpya wa CCM: Mwendo wa kupandishwa vyeo, wapya wataharibu 'formula'

Katibu Mkuu mpya wa CCM: Mwendo wa kupandishwa vyeo, wapya wataharibu 'formula'

Muda unakwenda fastaa.. Juzi juzi tu hapa mwezi wa saba mwaka jana kipenga cha kuchukua fomu kilipigwa.. Sasa hivi ni mwezi wa tatu. .. Baada ya miezi minne utakuwa umetimu mwaka mmoja tangu kuanza kwa mchakato wa ndani ya chama.. Mnaokula shibeni kabisa mapema.. Mmebakiza miaka minne tu kabla filimbi haijapigwa tena!
 
Natabiri yuleee was DSM anaweza kuwa mwenezi, ndugu bashite
 
Mnasahau tabiri za late presida haziwapi ujiko kipindi hiki wadau!, Naona yule jamaa yenu tweeter anagaragazwa kweli kweli na tabiri zake kwa sasa zimekuwa fake ile mbaya.

One of tabiri ni ile ya bimkubwa kuongeza mishahara na haikuwa hivyo.
 
Mnasahau tabiri za late presida haziwapi ujiko kipindi hiki wadau!, Naona yule jamaa yenu tweeter anagaragazwa kweli kweli na tabiri zake kwa sasa zimekuwa fake ile mbaya.

One of tabiri ni ile ya bimkubwa kuongeza mishahara na haikuwa hivyo.
Kiufupi watu wajue kwamba mama hatabiriki! Namwomba aendelee hivi hivi ili mapoyoyo yakose wateja! Lile taahira kule twittani linahaha wala halina habari nyepesi nyepesi tena! Linajiongelesha utafikri taahira!
 
Pamoja na ramli zote zinazopigwa kwenye uteuzi wa Katibu Mkuu mpya wa CCM, taarifa za ndani ya chama zinaanika wazi kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM atakuwa ni Komredi Rodrick Mpogolo ambaye kwasasa ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara.

Uteuzi wake ambao utafanyika wakati wowote kuanzia juma hili unatajwa kama kumpandisha cheo kutoka alichonacho hivi sasa pamoja na kulinda 'chemistry' iliyopo katika timu ya uongozi wa CCM Taifa.

Nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi bado inachakatwa ili kumpata 'muongeaji' mahiri wa chama. Hiyo nayo ikiwa tayari, nitarudi kuwahabarisha.

Corona ipo, tuchukue tahadhari na hatua satahiki!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Makao Mkuu ya CCM-Dodoma)
Mzee umeumbuka
 
Back
Top Bottom