LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mwakani kazi ipo, kama watu kama hawa ndio wanaongoza wengine kugombea nafasi mbalimbali za kuwakilisha wananchi!

====


Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya Almas amesema kuwa uongozi wa chama hicho umekaa, kujadili na kuona kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa ulikua huru haki, huku akisisitiza kuwa, wameyapokea matokeo ya uchaguzi huo kwa moyo mmoja, licha ya kutoambulia kiti hata kimoja miongoni mwa nafasi zaidi ya 230 walizosimamisha wagombea.

Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa kimkoa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Aidha Kisabya ameonyesha kutokuwa na imani na baadhi ya watu wanaotoa taarifa za kutekwa na kupotea akidai kuwa imekuwa kama mchezo wa kuigiza kila mtu kudai ametekwa ama kupotea.
 
Hivi vyama vingine ni magoli ya watu kupigia tu hela za ruzuku havina faida kwa raia wanakula kodi zetu bure tu.

Unategemea aongee nini mtu mwenye njaa kama sio kutetea ruzuku?
Na sisi raia tunatakiwa tuwe wakali tutoe fundisho kwa hawa mazezeta. Kama huyu alivyoongea huo ujinga akirudi tu mtaani tunampokea kwa kipigo! Hawatarudia ujinga!
 
Wakuu,

Mwakani kazi ipo, watu kama hawa ndio wanaongoza wengine kugombea nafasi mbalimbali za kuwakilisha wananchi!

====

View attachment 3169250

Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya Almas amesema kuwa uongozi wa chama hicho umekaa, kujadili na kuona kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa ulikua huru haki, huku akisisitiza kuwa, wameyapokea matokeo ya uchaguzi huo kwa moyo mmoja, licha ya kutoambulia kiti hata kimoja miongoni mwa nafasi zaidi ya 230 walizosimamisha wagombea.

Aidha Kisabya ameonyesha kutokuwa na imani na baadhi ya watu wanaotoa taarifa za kutekwa na kupotea akidai kuwa imekuwa kama mchezo wa kuigiza kila mtu kudai ametekwa ama kupotea.
KIONGOZI yupo sahihi kabisaaaa 👊
 
Hiki chama Kiko Tz au Zenji?
Bara, zenji kwenye uchaguzu huu wameshariki wapigia debe wabara, wao hawana uchaguzi mpaka mwakani...nimeangalia hata website hawana, ni mwendo wa kutoa matamko tu afu shwaa huwaoni hadi kwenye chaguzi tena au mambo yanayohitaji kutolewa matamko
 
Hahaha hawa wanatengenezewa script na CCM, ole wao wasipoongea, WANAFUTWA. Hawashiriki siasa popote kuna haja gani kuendelea kuwepo kwenye daftari la msajiri.
Msajiri atakwambia wanashiriki kutoa matamko😂😂..... kwani Mkuu hujasikia vyama vilivyoshiriki kwenye uchaguzi ni 19? Hiki kitakuwa cha 18😂😂 upuuzi mtupu
 
Wakuu,

Mwakani kazi ipo, kama watu kama hawa ndio wanaongoza wengine kugombea nafasi mbalimbali za kuwakilisha wananchi!

====

View attachment 3169250

Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya Almas amesema kuwa uongozi wa chama hicho umekaa, kujadili na kuona kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa ulikua huru haki, huku akisisitiza kuwa, wameyapokea matokeo ya uchaguzi huo kwa moyo mmoja, licha ya kutoambulia kiti hata kimoja miongoni mwa nafasi zaidi ya 230 walizosimamisha wagombea.

Aidha Kisabya ameonyesha kutokuwa na imani na baadhi ya watu wanaotoa taarifa za kutekwa na kupotea akidai kuwa imekuwa kama mchezo wa kuigiza kila mtu kudai ametekwa ama kupotea.
Ni kweli maigizo ni mengi sana ya Chagadomo!
 
Back
Top Bottom