LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya, ametoa kauli kuhusu madai ya utekaji nchini wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Kisabya alidai kuwa baadhi ya watu wanatumia madai ya kutekwa kwa malengo ya kuchafua taswira ya nchi. Pia alihimiza kuondoa mtazamo wa kisiasa kama ugomvi, akisisitiza umuhimu wa mijadala yenye kujenga badala ya kugawanya taifa.

Anasema
-kwamba siasa si ugonvi
-kwamba si sahihi kutumia utekaji kuchafua taswira ya nchi
Huyu anatambuwa kuwa upo utekaji/mauaji ktk jina la siasa, kwanini aseme siasa si ugonvi wakati kuna waliouliwa, kupotezwa, kujeruhiwa kwasababu ya siasa?.
Anayechafua taswira ya nchi ni mtekaji na si anayezungumzia matukio ya utekaji.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya, ametoa kauli kuhusu madai ya utekaji nchini wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Kisabya alidai kuwa baadhi ya watu wanatumia madai ya kutekwa kwa malengo ya kuchafua taswira ya nchi. Pia alihimiza kuondoa mtazamo wa kisiasa kama ugomvi, akisisitiza umuhimu wa mijadala yenye kujenga badala ya kugawanya taifa.

ngoja atekwe ndugu yake bado hajasema.
 
Kwa hivyo anapingana na jeshi la polisi lililowakamata watekaji wa Tarimo?.
 
Moja kati ya vyama bosheni vinavyotumika na ma ccm, vinapokea maelekezo wa nn cha kusema na wapi pa kusema...sambamba na kupokea posho!!.
 
Shetani hana rafiki, siku wakimfikia yeye ama ndugu yake ndio atajua huwa wanatekwa kweli au wanajificha!
 
Basi anastahili kupigwa! Sisi raia tungekuwa wakali wasingerudia ujinga!
Watanzania wastaarabu sana hawana mambo yakupigana pigana hata wakichokozwa. Wao ni hewala tu na kumshtakia Mungu wakati mambo ya kaisari unamalizana na kaisari, Maswala ya Mungu ni mapambano na shetani. Sasa shetani akijibadilisha akawa mtu huyo mtu unapambana naye uso kwa uso kama humuwezi unakimbia ukisema unamshtakia Mungu ujue wewe ni muoga na Mungu hapendi watu waoga kwasababu hata mbinguni hakutaingia kinyonge.
 
Msajiri atakwambia wanashiriki kutoa matamko😂😂..... kwani Mkuu hujasikia vyama vilivyoshiriki kwenye uchaguzi ni 19? Hiki kitakuwa cha 18😂😂 upuuzi mtupu
Hahaha wao huwa wanashiriki chaguzi za nje ya nchi, humu nchini hawaonekani kabisa, lakini wana umoja sana.
Kumbuka UKAWA uliwahi kupingwa na msajiri, akasema kila chama kifanye siasa zake, hawa wanafanya siasa MSETO.
 
Back
Top Bottom