Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Marekani ajiuzulu baada ya kugundulika shoga

Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Marekani ajiuzulu baada ya kugundulika shoga

Temea mate chini hili jambo si la utani na kwa taarifa yako Mashehe ndo wanashiriki kwa zaidi vitendo hivi na tuelewe kuwa si kutembelewa tu hata kama wewe unamchukua mwanaume au mwanamke mwenzio wewe ni shoga.
hili jambo si [a mdhaha ni kuomba MWENYEZI MUNGU lisiingie kwa jamii zetu kwa kiasi kikubwa jambo mazingira ya udhaifu wa serikali zetu za Kiafrika kukubali kila kitu bila tafakari ya kina toka hata kwa wataalamu wa ndani na kingine kwa kundi la wataalamu kukubaliana na matakwa ya serikali na kama haitoshi kutowajibika kwa vyombo vinavyosimamia maadili ikiwemo baraza la sanaa na wizara inayoshughulikia tamaduni zetu kwa ujumla ni wazi hatuna muda mrefu wa kutunza mila nadesturi zetu sina uhakika kama tunaweza kuvuka miaka 20 kila kitu kitakuwa sawa.
Nipe ushahidi kua kiongozi wa kiisla kwenye nyanja yeyote ni shoga, awe sheykh, ama imamu.
Nyinyi wakristo ni ndio muna kumbatia mambo ya kichoko, mfano huyo kiongozi wako hapo marekani anapakuliwa huku akieneza injili.
Wakristo mujitathmini, la sivyo baada ya miaka 100 huko mbele mutapoteana kwa kashfa hii.
Nahisi hata papa nae wenda anapakuliwa.
 
MUNGU aliyesema askofu awe mume wa mkewe mmoja alikuwa na akili kubwa kuliko wao mara 100, Aliona mbali mara 100 zaidi yetu sisi.
 
Kama kawaida tuhuma za ushoga kwa viongozi wa kanisa alaf kuna mijitu cjui ni imelogwa hizi taarifa zinajidai azioni zinakuja sema. Wapemba ndio michezo yao Hali ya kua kila cku kanisa lina izo tuhuma
 
Nipe ushahidi kua kiongozi wa kiisla kwenye nyanja yeyote ni shoga, awe sheykh, ama imamu.
Nyinyi wakristo ni ndio muna kumbatia mambo ya kichoko, mfano huyo kiongozi wako hapo marekani anapakuliwa huku akieneza injili.
Wakristo mujitathmini, la sivyo baada ya miaka 100 huko mbele mutapoteana kwa kashfa hii.
Nahisi hata papa nae wenda anapakuliwa.
hivi unaweza kusoma tena ulichoandika?
ushahidi ninao lakini sihitaji kuutaja hauna tija kwa jamii
 
Nipe ushahidi kua kiongozi wa kiisla kwenye nyanja yeyote ni shoga, awe sheykh, ama imamu.
Nyinyi wakristo ni ndio muna kumbatia mambo ya kichoko, mfano huyo kiongozi wako hapo marekani anapakuliwa huku akieneza injili.
Wakristo mujitathmini, la sivyo baada ya miaka 100 huko mbele mutapoteana kwa kashfa hii.
Nahisi hata papa nae wenda anapakuliwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Katibu mkuu wa TEC ya Marekani ama baraza la maaskofu katoliki wa Marekani amejiuzuru wadhifa wake baada ya kugundilika kua ni shoga.

Askofu huyo amegundulika kua ni shoga baada ya taarifa kuibuka kua yeye hua ni mhuzuriaji mzuri kwenye bar za mashoga nyakati za usiku na pia amegundulika kutumia applikasheni ya mashoga wanaojiuza ya Grindr ambayo ni mahususi kwa ajili ya watu wa mapenzi ya jinsia moja.

Hii kasi ya viongozi wakubwa wa kanisa kugundulika ni mashoga inakua kwa kasi sana. Kumbuka hivi karibuni kuna kadinari mmoja msaidizi wa papa aligundulika ni shoga huko vatcan.
===
A top official in the Catholic Church has resigned after his phone data reportedly revealed visits to gay bars and activity on the gay dating app, Grindr, in a case that will alarm privacy campaigners.

The US Conference of Catholic Bishops (USCCB) said Jeffrey Burrill resigned on Tuesday as head of the conference following an investigation by a Catholic newsletter, The Pillar.

A spokesperson, Chieko Noguchi, said it would stop the revelations “becoming a distraction to the operations and ongoing work of the Conference”, after allegations of “improper behaviour” by the Catholic official, who had his phone data reported by The Pillar.

The newsletter wrote on Tuesday that Mr Burrill had been on Grindr almost on a “daily basis during parts of 2018, 2019, and 2020”, despite taking a vow of celibacy. The Catholic Church also opposes sex outside of heterosexual marriage, and homosexuality.

Mr Burrill was accused of being on Grindr “both [at] his USCCB office and his USCCB-owned residence, as well as during USCCB meetings and events in other cities”.

Although there was no proof that he “was in contact with minors through his use of Grindr”, the website went on to accuse the Catholic official of being in “conflict with his role in developing and overseeing national child protection policies”, despite no link between the two.

It added that it “obtained and analysed” data from his phone though “a data vendor and [was] authenticated by an independent data consulting firm”, which was able to connect the location data from Grindr to a device owned by Mr Burrill.

It was not clear whether or not The Pillar paid for the data, or who the data vendor was, although apps frequently sell the information to aggregators and marketing firms, as The Washington Post reported on Tuesday.

While there are some laws at state level prohibiting the selling of users’ data, there are no US federal laws forbidding it — which in theory, puts all phone users at risk of being targeted for tracking.

According to The Post, Mr Burrill’s resignation came a day after another religious news website, The Catholic News Agency, warned of concerns of clergy members being linked to Grindr and use of other “hook up” apps through the tracking of phone data.

The issue was reportedly brought by “a person concerned with reforming the Catholic clergy“.

In a statement, Grindr told The Independent it was “aligned with” The Washington Post’s description of the story on Tuesday, “which describes the original blog post from The Pillar as homophobic and full of unsubstantiated innuendo.”
Kiingereza ni tatizo, zaidi ya kuwa kwenye mtandao huo hakuna ushahidi wa jambo jingine baya dhidi yake. Amejiuzulu kutokana na kuwepo tu katika mtandao huo kunaenda kinyume na maadili ya kazi yake.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Nipe ushahidi kua kiongozi wa kiisla kwenye nyanja yeyote ni shoga, awe sheykh, ama imamu.
Nyinyi wakristo ni ndio muna kumbatia mambo ya kichoko, mfano huyo kiongozi wako hapo marekani anapakuliwa huku akieneza injili.
Wakristo mujitathmini, la sivyo baada ya miaka 100 huko mbele mutapoteana kwa kashfa hii.
Nahisi hata papa nae wenda anapakuliwa.
Amka kumekucha, mashoga waislam walianzisha mpaka msikiti wao huko Afrika Kusini.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom