Uchaguzi 2020 Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru inusuru CCM Songea Mjini, msije sema hamkuambiwa

Uchaguzi 2020 Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru inusuru CCM Songea Mjini, msije sema hamkuambiwa

Watumishi wa umma mateso ya miaka 5 ya hakuna increments, kupanda vyeo (walimu),ongezeko la mshahara,kutolipwa malimbikizo yenu n.k iwe ni fundisho na akili zenu kuikataa ccm kwa nguvu zote.Familia zenu ziikatae ccm.

Msiwapigie kura ya urais,wabunge wala madiwani.Ndiyo wadhalilishaji wenu
 
Shaibu kapigwa chini ila issue ni kuwa jamaa walipigwa chini na vikao vyote kuanzia Wilaya mpaka kamati ya Mkoa na kumbuka upande wa madiwani katiba ya chama inatoa mamlaka yote kwa viongozi wa Mkoa sasa viongozi wa Mkoa wameshafanya maamuzi jamaa wakapiga simu kwa Bashiru kwa mujibu wa maelezo yao na Bashiru akaamuru jamaa wapewe barua za uteuzi na za mwanzo zifutwe sasa jamaa saizi wanatamba kwamba wao hawa deal na mkoa wana deal na Taifa sasa hii imefanya wananchi waseme sawa tuone hao wa taifa kama ndio wapiga kura mabalozi wengi weshagoma kufanya kampeni na ndio maana tunasema ichunguzwe ukweli ujulikane ili haki ipatikane ila saizi viongozi wa Mkoa na Wilaya wanadharaulika kisa wao wana deal na Bashiru
Hahaha mzee usituvunje mbavu. Hao hawaongei na mbwa wanaongea na mwenye mbwa.
 
Ok tangu lini watu wa Songea wakaipinga ccm

Nyerere wakati wa kutafuta uhuru sehemu ya kwanza kwenda ni huko Peramiho songea vijijini kwa wamisionari wa kizungu wa kibenediktini ili wamuunge mkono na walimuunga mkono apiganie uhuru

Ccm na Songea ni kama meno na Fizi vinafanya kazi pamoja

Huo Mkoa wa Ruvuma plus Dodoma ni kambi za ccm

Ccm hata ikiweka jiwe linashinda huko

Historia ya Mwalimu Nyerere na mkoa wa Ruvuma ni mkubwa sana

Hata vita vya Idd Amini kambi za huko Ruvuma za kijeshi ndizo zilizoenda Bukoba huko na silaha nzito kwenda kuweka mambo sawa

Mkuu mambo mengine yana historia yake,Mwalimu Nyerere aliwaamini wangoni kama watu jasiri na watu wazalendo mpaka leo huko songea ccm haina upinzani kabisa

Wangoni na ccm wana historia ndefu tangu enzi za Mwalimu Nyerere

Mwalimu vikao vingi vya maamuzi na ziara alizifanya huko Songea

Leo hii hakuna mwanaccm anayefikiria eti wangoni watawasaliti

Kumbuka wangoni hii nchi sio yao walitokea Afrika kusini huko hivyo wanaogopa kurudishwa kwao,wanafuata sheria na kanuni za chama

Wewe nani,Wangoni ndio wazalendo Tanzania tangu enzi za Nyerere
Acha uongo mkuu ss tushaichoka ccm sema mfumo tu ndio kandamizi

Hii nchi ukifuatilia makabila kila MTU n mhamiaji sisi n RAIA halali wa taifa hili
 
Acha uongo mkuu ss tushaichoka ccm sema mfumo tu ndio kandamizi

Hii nchi ukifuatilia makabila kila MTU n mhamiaji sisi n RAIA halali wa taifa hili
Kama mngechoka Jenista amepata kura zaidi ya 800 na anayefuata kura chini ya 50

Sasa wewe umechoka kama nani?

Songea ni kambi ya ccm,Wangoni ndio wahamiaji wanaojulikana hapa Tanzania

Makabila mengine ni story tu,Wangoni walivamia Songea kinguvu na bila kudhibitiwa na kukubaliana na Mkwawa wa Iringa leo hii nchi hii wangejaa wao

Wangoni si unajua walikuja wanaume tu Tanzania,wametembeza dude na kupora wake za watu ndio hii idadi imefikia
 
Bashiru kama Katibu Mkuu wa CCM inapaswa hutumie vyombo vyako vyote vya usalama wa chama ili upewe taarifa sahihi ya mkoa wa Ruvuma.

Ishu ni kuwa kuna kata zaidi ya nne kamati ya Mkoa ilikwisha kuamua na mchakato wa kuwapa Madiwani watarajiwa barua za uteuzi ulikwisha fanyika mara ghafla mchakato ukasimamishwa kwa maelezo ya kuwa Bashiru umetoa maagizo ifanyike hivyo. Hatukatai inaweza kuwa sawa ila umetafuta kujua sifa za hao unaotaka wachaguliwe wewe? Umesikia namna wanavyolitumia jina lako katika huu mchakato?

1- Kata ya Ruhuwiko huyo Mgombea bwana Mahundi anayesema wewe ndiye umeagiza achaguliwe, ndiye yule aliyewai kushikwa Malawi kwa tuhuma za kuingia nchi ya watu bila kibali na nchi haikuwa na taarifa zake na kuzua sitofahamu na akawa ameitelekeza kata zaidi ya miezi 6 bila muwakilishi. Kama haitoshi huyu ndiye aliyeanzisha kikundi cha kusaidia walemavu na kuweka majina ya mke wake na mwanae pia watu wazima(wasio na ulemavu) na vikao vya nidhamu vya chama na madiwani walimwita akaomba msamaha.

2- Kata ya Subira huyu mgombea anayesema wewe ndiye chaguo lako kumbuka ndiye alikuwa Meya wa manispaa ya Songea na ndiye aliekuwa analeta ugomvi kila siku na Mkurugenzi na kupelekea migogoro ya manispaa kila siku na hata kufanya Manispaa ipate hati chafu.

Bashiru, hawa watu sasa kutokana na kurudishwa na wewe wamekuwa na kauli za kuwadharau viongozi wote wa kamati ya siasa ya Mkoa na kusema wao wanakujua wewe hawa wengine kwao si lolote maana wao wana watu ndani ya CCM Taifa.

Ushauri: Tumia vyombo vyako vya chama kujua ukweli usipuuze vitu kwa kuzani siasa wapinzani wataifurahisha Songea kwa uzembe unaoepukika kabisa na tabu mnao wabeba kauli zao ndio zimewavunja moyo kabisa wapiga kura sasa wana Songea wanataka kuona hicho kiburi unachowapa kama kitasaidia chama kwenye uchaguzi.

Nasisitiza, tuma vyombo vyako ujue ukweli wa mambo.
naskia jambo lako wamelifanyia kazi ni kweli ?
 
Kama mngechoka Jenista amepata kura zaidi ya 800 na anayefuata kura chini ya 50

Sasa wewe umechoka kama nani?

Songea ni kambi ya ccm,Wangoni ndio wahamiaji wanaojulikana hapa Tanzania

Makabila mengine ni story tu,Wangoni walivamia Songea kinguvu na bila kudhibitiwa na kukubaliana na Mkwawa wa Iringa leo hii nchi hii wangejaa wao

Wangoni si unajua walikuja wanaume tu Tanzania,wametembeza dude na kupora wake za watu ndio hii idadi imefikia
Ahaaa mkuu kwa hyo babu zetu walikuwa vi...t...mb..i sana
 
Kweli wakati fulani huko nyuma miaka wanaingia wangoni walikuwa jasiri. Sasa hivi hapana ila wajanja. Anakusikiliza halafu ana kuzunguka. Hawapendi vurugu, ikitokea umewatendea sivyo muda ndio utakao amua lakini watakushughulikia kimyakimya.
Moja ya sababu ya kubadilika ni pale walipo shuhudia ma chifu wao waliponyongwa mbele ya kadamnasi. Wakaamua kubadili mbinu zao za kushuhulika na wanao wakera. Ule ujasiri wa kupambana papo kwa papo ukapotea.

Ukweli hao wanaoitwa wangoni halisi wengi wamehamia vijijinindani huko. Na siku hizi kuna mchanganyiko wa makabila mbalimbali kutoka Tunduru na sehemu nyininezo. Kama ni wilaya ya Songea CCM itatamba miaka mingi sana. Labda itakuwa ya mwisho kuwa na upinzani tishio.
 
Ahaaa mkuu kwa hyo babu zetu walikuwa vi...t...mb..i sana
Kwani hujui? Hadi hivi ninavyoandika Mpe pesa atafikisha, ukimpa mke kama ana usafiri utaukuta nje ya nyumba ya kulala wageni, najua unajua
 
Wewe acha tabia za kingoni, Songea hatutaki uchonganishi. CCM ni chama makini hatutaki majungu vinginevyo hamia CHADEMA
Bashiru kama Katibu Mkuu wa CCM inapaswa hutumie vyombo vyako vyote vya usalama wa chama ili upewe taarifa sahihi ya mkoa wa Ruvuma.

Ishu ni kuwa kuna kata zaidi ya nne kamati ya Mkoa ilikwisha kuamua na mchakato wa kuwapa Madiwani watarajiwa barua za uteuzi ulikwisha fanyika mara ghafla mchakato ukasimamishwa kwa maelezo ya kuwa Bashiru umetoa maagizo ifanyike hivyo. Hatukatai inaweza kuwa sawa ila umetafuta kujua sifa za hao unaotaka wachaguliwe wewe? Umesikia namna wanavyolitumia jina lako katika huu mchakato?

1- Kata ya Ruhuwiko huyo Mgombea bwana Mahundi anayesema wewe ndiye umeagiza achaguliwe, ndiye yule aliyewai kushikwa Malawi kwa tuhuma za kuingia nchi ya watu bila kibali na nchi haikuwa na taarifa zake na kuzua sitofahamu na akawa ameitelekeza kata zaidi ya miezi 6 bila muwakilishi. Kama haitoshi huyu ndiye aliyeanzisha kikundi cha kusaidia walemavu na kuweka majina ya mke wake na mwanae pia watu wazima(wasio na ulemavu) na vikao vya nidhamu vya chama na madiwani walimwita akaomba msamaha.

2- Kata ya Subira huyu mgombea anayesema wewe ndiye chaguo lako kumbuka ndiye alikuwa Meya wa manispaa ya Songea na ndiye aliekuwa analeta ugomvi kila siku na Mkurugenzi na kupelekea migogoro ya manispaa kila siku na hata kufanya Manispaa ipate hati chafu.

Bashiru, hawa watu sasa kutokana na kurudishwa na wewe wamekuwa na kauli za kuwadharau viongozi wote wa kamati ya siasa ya Mkoa na kusema wao wanakujua wewe hawa wengine kwao si lolote maana wao wana watu ndani ya CCM Taifa.

Ushauri: Tumia vyombo vyako vya chama kujua ukweli usipuuze vitu kwa kuzani siasa wapinzani wataifurahisha Songea kwa uzembe unaoepukika kabisa na tabu mnao wabeba kauli zao ndio zimewavunja moyo kabisa wapiga kura sasa wana Songea wanataka kuona hicho kiburi unachowapa kama kitasaidia chama kwenye uchaguzi.

Nasisitiza, tuma vyombo vyako ujue ukweli wa mambo.
 
Usiwaamshe hilo jimbo miaka yote linatakiwa kwenda upinzani.
 
naskia jambo lako wamelifanyia kazi ni kweli ?
Yap ila kwa baadhi ya maeneo lakini kwa mjini kuna kata mbili muhimu ambazo hawajafanyia mabadiriko lizabon na Ruhuwiko izi ndio chimbuko la mgogoro cz hao jamaa ndio kundi moja na izo zilizo fanyiwa kazi juzi jamaa wanagawa chama sana kwa wana nchi hawana mvuto sasa wamebaki kutumia pesa kuanzisha migogoro
 
Back
Top Bottom