Uchaguzi 2020 Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru inusuru CCM Songea Mjini, msije sema hamkuambiwa

Watumishi wa umma mateso ya miaka 5 ya hakuna increments, kupanda vyeo (walimu),ongezeko la mshahara,kutolipwa malimbikizo yenu n.k iwe ni fundisho na akili zenu kuikataa ccm kwa nguvu zote.Familia zenu ziikatae ccm.

Msiwapigie kura ya urais,wabunge wala madiwani.Ndiyo wadhalilishaji wenu
 
Hahaha mzee usituvunje mbavu. Hao hawaongei na mbwa wanaongea na mwenye mbwa.
 
Acha uongo mkuu ss tushaichoka ccm sema mfumo tu ndio kandamizi

Hii nchi ukifuatilia makabila kila MTU n mhamiaji sisi n RAIA halali wa taifa hili
 
Acha uongo mkuu ss tushaichoka ccm sema mfumo tu ndio kandamizi

Hii nchi ukifuatilia makabila kila MTU n mhamiaji sisi n RAIA halali wa taifa hili
Kama mngechoka Jenista amepata kura zaidi ya 800 na anayefuata kura chini ya 50

Sasa wewe umechoka kama nani?

Songea ni kambi ya ccm,Wangoni ndio wahamiaji wanaojulikana hapa Tanzania

Makabila mengine ni story tu,Wangoni walivamia Songea kinguvu na bila kudhibitiwa na kukubaliana na Mkwawa wa Iringa leo hii nchi hii wangejaa wao

Wangoni si unajua walikuja wanaume tu Tanzania,wametembeza dude na kupora wake za watu ndio hii idadi imefikia
 
naskia jambo lako wamelifanyia kazi ni kweli ?
 
Ahaaa mkuu kwa hyo babu zetu walikuwa vi...t...mb..i sana
 
Kweli wakati fulani huko nyuma miaka wanaingia wangoni walikuwa jasiri. Sasa hivi hapana ila wajanja. Anakusikiliza halafu ana kuzunguka. Hawapendi vurugu, ikitokea umewatendea sivyo muda ndio utakao amua lakini watakushughulikia kimyakimya.
Moja ya sababu ya kubadilika ni pale walipo shuhudia ma chifu wao waliponyongwa mbele ya kadamnasi. Wakaamua kubadili mbinu zao za kushuhulika na wanao wakera. Ule ujasiri wa kupambana papo kwa papo ukapotea.

Ukweli hao wanaoitwa wangoni halisi wengi wamehamia vijijinindani huko. Na siku hizi kuna mchanganyiko wa makabila mbalimbali kutoka Tunduru na sehemu nyininezo. Kama ni wilaya ya Songea CCM itatamba miaka mingi sana. Labda itakuwa ya mwisho kuwa na upinzani tishio.
 
Ahaaa mkuu kwa hyo babu zetu walikuwa vi...t...mb..i sana
Kwani hujui? Hadi hivi ninavyoandika Mpe pesa atafikisha, ukimpa mke kama ana usafiri utaukuta nje ya nyumba ya kulala wageni, najua unajua
 
Wewe acha tabia za kingoni, Songea hatutaki uchonganishi. CCM ni chama makini hatutaki majungu vinginevyo hamia CHADEMA
 
Usiwaamshe hilo jimbo miaka yote linatakiwa kwenda upinzani.
 
naskia jambo lako wamelifanyia kazi ni kweli ?
Yap ila kwa baadhi ya maeneo lakini kwa mjini kuna kata mbili muhimu ambazo hawajafanyia mabadiriko lizabon na Ruhuwiko izi ndio chimbuko la mgogoro cz hao jamaa ndio kundi moja na izo zilizo fanyiwa kazi juzi jamaa wanagawa chama sana kwa wana nchi hawana mvuto sasa wamebaki kutumia pesa kuanzisha migogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…