Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika aanza ziara ya Kikazi Nchini Marekani

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika aanza ziara ya Kikazi Nchini Marekani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa iliyotolewa na Chama chake imethibitisha .

Screenshot_2023-12-03-11-04-27-1.png
 
Bilashaka updates za ziara yake,zitakua zinatolewa na akikutana na VP huko nje ya nchi,amsihi siku nyingine aambatane na hata mwandishi mmoja, tupatage updates ili tupatage yanayojiri huko ziarani.
 
Haja enda na Sugu?
Maana Balozi wa US si mlisema alienda Mbeya?
 
Hahah Mnyika ni Mbumbumbu, hivi Bado anaugua ukichaa?

Huko Us asijejitupa gorofani
 
Back
Top Bottom