Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa iliyotolewa na Chama chake imethibitisha .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka waage kwa kutumia saburi lakokumbe nachadema nao wanaserikali yao hadi wakienda kutembea wanaaga kwabarua.
inakuhusu nini? wewe haingaika na hayo makatibu makuu ya chama lako wanaojirekodi wakifanya ufuskaHaja enda na Sugu?
Maana Balozi wa US si mlisema alienda Mbeya?
itajulikana 2025 wewe juha la ccmkwani hao niviongozi wanchi gan
Muda mwingi yupo Uarabuni kwa wajombaMara nyingi ziara kama hizi sio za kitoto huwa zina manufaa makubwa kwa nchi sio kama zile za bibi tarabushi za kuuza nchi
NaamMara nyingi ziara kama hizi sio za kitoto huwa zina manufaa makubwa kwa nchi sio kama zile za bibi tarabushi za kuuza nchi
Tutarekebisha hiyoCHADEMA kosa lao la kijinga ni kujiita waheshiwa kitu ambacho hata Nyerere alikikataa kabisa, mengine wapo vizuri.
Hapana,la mama yakoUnataka waage kwa kutumia saburi lako
Huu upumbavu waachieni CCM, nyie ni chama cha ukombozi bhana siyo cha majivuno na mafisadiTutarekebisha hiyo
Halafu nyie matapeli hiyo nembo ya Nchi mnayoitumia mmeruhusiwa na nani ?Haja enda na Sugu?
Maana Balozi wa US si mlisema alienda Mbeya?
Mbona ulichelewa sana kujua ?kumbe nachadema nao wanaserikali yao hadi wakienda kutembea wanaaga kwabarua.
HayaHahah Mnyika ni Mbumbumbu, hivi Bado anaugua ukichaa?
Huko Us asijejitupa gorofani