Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CUF Bi Husna Mohammed Abdallah amtembelea Wilfred Lwakatare

Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CUF Bi Husna Mohammed Abdallah amtembelea Wilfred Lwakatare

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Boveta

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2019
Posts
3,174
Reaction score
3,804
Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

The Civic United Front-CUF Chama Cha Wananchi.

Katibu mkuu wa chama cha wananchi-CUF madam Husna Mohamed Abdallah Tarehe 11 February 2025
Alikwenda kumtembelea mmoja wa waasisi wa chama cha wananchi-Cuf ambae pia amewahi kuwa naibu katibu mkuu wa Chama cha Wananchi-Cuf bara na mbunge wa Jimbo la Bukoba mjini kwa tiketi ya Chama cha Wananchi-Cuf, Mh. Lwekatare katika uchaguzi uliyopita aligombea uenyekiti wa Taifa.

Mpango huu ni mpango maalum wa Madam Husna ili kusaidia kupoza majeraha ya uchaguzi kwa wale wenye dhamira ya umoja, upendo na mshikamano, na wasiokua tayari kukidhuru chama kwa matakwa yao.

Hongera sana Mh. Wilfred Muganyizi Lwekatare wewe ni gwiji la siasa, wewe ni mwanasiasa, hakika ni kweli demokrasia ni pamoja na kukubali matokeo halali, mchango wako kwenye chama chetu na uwezo wako bado vinahitajika sana, tunakuombea uhai mrefu wenye afya njema.
IMG-20250211-WA0332.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250211-WA0328.jpg
    IMG-20250211-WA0328.jpg
    28.6 KB · Views: 2
  • IMG-20250211-WA0331.jpg
    IMG-20250211-WA0331.jpg
    44.7 KB · Views: 2
Lwakatare -Engaju -

Siasa za Bukoba zilikuwa zinanogeshwa na huyu jamaa na kagasheki .

Ilikuwa raha Sana
 
Huyo aliyetembelewa mwenyewe mbona yuko rough sana! Au alikurupushwa akiwa shamba! How come unatembelewa na kiongozi wako halafu unajitokeza hadharani ukiwa umevaa hovyo hovyo tu!!
 
Unajichosha bure kuandika habari za CUF hazina mvumo wala mvuto. Bora hata ungeandika za ACT Wazalendo. Habari mvumo kwa sasa ni CHADEMA
 
Hongera sana Mh. Wilfred Muganyizi Lwekatare wewe ni gwiji la siasa, wewe ni mwanasiasa, hakika ni kweli demokrasia, mchango wako kwenye chama na uwezo wako vinahitajika sana, tunakuombea uhai mrefu wenye afya njema.
Naunga mkono hoja. Huyu ndie mkombozi wa Chadema, akiwa Chadema, alimwagiwa ugali wake, huku yeye ndiye mwenye bakuli la mboga, angekuwa ni mtu mwingine, baada ya watu kumwaga ugali, yeye angemwaga mboga!, lakini yeye hakumwaga ili kuinusuru Chadema! Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!
P
 
Back
Top Bottom