Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CUF Bi Husna Mohammed Abdallah amtembelea Wilfred Lwakatare

Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CUF Bi Husna Mohammed Abdallah amtembelea Wilfred Lwakatare

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unajichosha bure kuandika habari za CUF hazina mvumo wala mvuto. Bora hata ungeandika za ACT Wazalendo. Habari mvumo kwa sasa ni CHADEMA
Shinda mechi zako mkuu.
 
Huyo aliyetembelewa mwenyewe mbona yuko rough sana! Au alikurupushwa akiwa shamba! How come unatembelewa na kiongozi wako halafu unajitokeza hadharani ukiwa umevaa hovyo hovyo tu!!
Yupo Sawa tuu.
 
Kipindi hicho 2005 namaliza form four ilikuws hatari sana
Nilikuwa nursery na nyumba ipo barabarani pale Hamugembe. Nikawa nawaona CCM wengi ni wamama na vibonge hawana vibe wanaimba taratibu na wengi wamevaa sare.

CUF wengi wao walikuwa vijana, wanaandamana wamevua mashati, wana fujo na kelele, wana matusi wanawatukana CCM. Kipindi kile bodaboda ndio zimeanza wengi walikuwa mashabiki wa CUF.

Kuna wimbo vijana wa CUF walikuwa wanapenda kuimba wakipita wanasema "CCM wanaharisha, wanatapika" alafu ikitokea mfano CCM kesho wanafanya maandamano, wafanya fujo wa CUF wanakuja kupanga mafungu ya mawe njiani kesho wakija wawatupie CCM. Siku wakafanya fujo watu wakaumia wakaja polisi wakafyatua mabomu ya machozi. Kuanzia hapo tukawa tunafungiwa getini mpaka uchaguzi uishe.

Hayo yanatokea sijui uchaguzi ni kitu gani.
 
Back
Top Bottom