Karibu sana Mkuu Pascal MayallaNaunga mkono hoja. Huyu ndie mkombozi wa Chadema, akiwa Chadema, alimwagiwa ugali wake, huku yeye ndiye mwenye bakuli la mboga, angekuwa ni mtu mwingine, baada ya watu kumwaga ugali, yeye angemwaga mboga!, lakini yeye hakumwaga ili kuinusuru Chadema! Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!
P
CUF ilikuwa zamani, sio sasa, ya sasa imepaukaShinda mechi zako mkuu.
Ni mkufunzi kwenye kile chuo hukoHuwa namuona uelekeo wa huko.
CUF na Chadema wote kwisha habari yao. Inasikitisha.cuf kwisha habari yake.
CCM ndio mufilis kabisaCUF
CUF na Chadema wote kwisha habari yao. Inasikitisha.
Nilikuwa nursery na nyumba ipo barabarani pale Hamugembe. Nikawa nawaona CCM wengi ni wamama na vibonge hawana vibe wanaimba taratibu na wengi wamevaa sare.Kipindi hicho 2005 namaliza form four ilikuws hatari sana
Mufilisi wakati wanaongoza 99% ya mitral, vitongoji na vijiji?CCM ndio mufilis kabisa
Chuo kipi?Hivi bado anafundisha kwenye kile chuo fulani hapo mbweni
Ova