Mmiliki wa mabasi ya Kirumo Charo na Katibu Mkuu wa chama cha wamiliki wa mabasi TABOA, Ndg. Enea Mrutu ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla Mwirange disp. Mwanga!
Pia soma
> Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) chapinga Kanuni za Latra kwa madai kuwa zinawakandamiza - JamiiForums
> Diwani wa Shighati(CCM) Wilayani Mwanga, Enea Mrutu awekwa chini ya ulinzi baada ya kudakwa akitoa rushwa - JamiiForums
> Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) chapinga Kanuni za Latra kwa madai kuwa zinawakandamiza - JamiiForums
> Diwani wa Shighati(CCM) Wilayani Mwanga, Enea Mrutu awekwa chini ya ulinzi baada ya kudakwa akitoa rushwa - JamiiForums