Duuuh huyu si alininyima tenda juzi tu na kunitukana matusi kama yote mmmh aende salamaMwenyekiti wa TABOA ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro ndugu Enea Mrutu amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla
... hili dude ni hatari sana! Mola atusaidie.Mwenyekiti wa TABOA ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro ndugu Enea Mrutu amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla
R.I.P Mwenyekiti!Mwenyekiti wa TABOA ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro ndugu Enea Mrutu amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla
Acha kabisa. Mwingine asubuhi hii kadondoka akiwa gym hapo OsterbayMmiliki wamabasi ya Kirumo Charo na katibu wa chama cha wamiliki wa mabasi TABOA, Ndg Enea Mrutu ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro , amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla Mwirange disp. Mwanga!
.... hali inatisha wakuu! Halafu tunaaminishwa vifo bado ni 16 tu? Nadhani hali ni mbaya kuliko tunavyofikiria!Acha kabisa. Mwingine asubuhi hii kadondoka akiwa gym hapo Osterbay
View attachment 1443449
Kudondoka kuna 7bu nyingi mkuu,nina ushuhuda na hilo kuna jamaa alidondoka kwenda kumpima kumbe alikuwa na magonjwa mengine malaria kali,UTI na damu ndogo.Acha kabisa. Mwingine asubuhi hii kadondoka akiwa gym hapo Osterbay
View attachment 1443449
Acha kabisa. Mwingine asubuhi hii kadondoka akiwa gym hapo Osterbay
View attachment 1443449