Katibu mkuu wa TFF Wilfred Kidao, akanusha maneno ya Haji Manara

Katibu mkuu wa TFF Wilfred Kidao, akanusha maneno ya Haji Manara

Kwangu hakuna haki ya kisheria iliyotumika kumfungia Mr.Manara,chombo huru na chenye kujitegemea ndicho kingehusika na kesi hii, Mr.Manara nakushauri uende mahakamani ukadai haki yako
Haendi mahakamani na anaendelea na kazi Sasa TFF waifungie yanga
 
Hii ya kumpiga marufuku mtu kujihusisha na soka “nje ya Nchi” doesnt hold any water. TFF haina mamlaka nje ya mipaka ya Jamhuri

Hivi Karia yeye kapewa adhabu au karipio lipi au yeye yupo juu ya sheria & kanuni za TFF?
 
Haji kaongwa maneno mengi hapo amekanusha lipi au yote
Haji alimwendea Kidao kumwambia habari ya Rais wa TFF Karia, Kidao yeye akaomba msamaha na akasema Karia amekosea, kwa hii kauli ndo Kidao anasema si kweli.

Sasa usichoelewa nini hapo..?!
 
Kidao inaonekana Hataki kuonekana anamsaliti boss wake ila ukweli anaufahamu.
 
Haendi mahakamani na anaendelea na kazi Sasa TFF waifungie yanga
Tatizo mkuu hatuna chombo ambacho ni free and independent katika kufanya maamuzi kama haya, ndio maana wenzetu wana independent prosecutor wa kushughulikia issue kama hii TFF kisheria hawana uwezo wa kuwafungia yanga au club yeyote hapa nchini
 
Back
Top Bottom