Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, na uongozi wa VETA watakiwa kuendesha program zitakazowasaidia Vijana wa Zanzibar kujiajiri na kuajiriwa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, na uongozi wa VETA watakiwa kuendesha program zitakazowasaidia Vijana wa Zanzibar kujiajiri na kuajiriwa

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Naibu katibu Mkuu wa Chama Cha cha Mapinduzi Zanzibar Dkt. Muhammed Said Dimwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Fatma Hamad Rajab kukaa pamoja na Uongozi huo wa Veta ili kuweza kuendesha program zitakazowasaidia Vijana wa Zanzibar na kuweza kujiajiri, kuajiriwa na kupatiwa vyeti.

Dkt. Dimwa ameyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na ujumbe wa Veta Veta Kanda ya Mashariki na Viongozi wa Idara ya Maendeleo ya Vija na Zanzibar huko Migombani Wilaya ya Mjini.

Aidha amesema Chama Cha Mapinduzi kinaridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Viongozi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar katika kuwawezesha Vijana na kuahidi kushirikiana nao
 
Yaani mzanzibar awe fundi welding au mason ili aitwe mnyamwezi?
 
Wameanza kustuka ...bora wawakabidhi Veta watatoa vijana watakaoleta Tija katika jamii kuliko kutumia NGOs kule mi mizengwe tu
 
Back
Top Bottom