Katibu Mtendaji BMT, Msitha: Rais Samia huku kwetu anaupiga mwigi, tumeshuhudia mafanikio makubwa kipindi chake

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Katibu Mtendaji Baraza la Michezo Tanzani (BMT) Neema Msitha ameyazungumza hayo leo jijini Dodoma katika mkutano wa waandishi wa habari akieleza mafanikio na muelekeo kuelekea maadhimisho ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita.

Your browser is not able to display this video.
 
Raha sana kuwa kiongozi katika taifa kama hili , ni taifa simple sana kuliongoza
 
AIBU YETU WATANZANIA.

Lakini muda wa ukombozi upo karibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…