25 October 2024
Zuberi Mwinyi Katibu Mwenezi taifa wa ADA TADEA " Wapinzani Hatukujiandaa kwa Uchaguzi wa TAMISEMI 2024, Tusiilaimu CCM
View: https://m.youtube.com/watch?v=WKMTl38WQd8
Zuberi Mwinyi anaongeza kuwa vyama vya upinzani vyote Tanzania hatuna mawakala, hatuna wanachama wa kukifadhili kama ilivyo kwa CCM.
Bwana Zuberi Mwinyi anaona kuwa CCM imejipanga vizuri kutokana na uwezo wake wa kifedha, huku vyama vya upinzani vimeshinda hata kuwapa posho ya chakula kwa mawakala wake.
Kuhusu CHADEMA kutilia shaka idadi ya waliojiandikisha katika daftari la mkaazi kuwa kubwa kuliko idadi ya watu kama ilivyobainishwa katika Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 kitaifa.
Katibu huyo mwenezi kitaifa wa ADA TADEA anasema huko kuhoji idadi ya watu kupitiliza wingi kuliko Sensa ya 2022 ni kujaribu kutengeneza uchochezi, wapinzani tujipange kwa uchaguzi mwingine wa TAMISEMI 2029 kwa kuwa huu wa 2024 hatujajipanga sisi wapinzani...
TOKA MAKTABA:
Zuberi Mwinyi Katibu Mwenezi taifa wa ADA TADEA " Wapinzani Hatukujiandaa kwa Uchaguzi wa TAMISEMI 2024, Tusiilaimu CCM
View: https://m.youtube.com/watch?v=WKMTl38WQd8
Zuberi Mwinyi anaongeza kuwa vyama vya upinzani vyote Tanzania hatuna mawakala, hatuna wanachama wa kukifadhili kama ilivyo kwa CCM.
Bwana Zuberi Mwinyi anaona kuwa CCM imejipanga vizuri kutokana na uwezo wake wa kifedha, huku vyama vya upinzani vimeshinda hata kuwapa posho ya chakula kwa mawakala wake.
Kuhusu CHADEMA kutilia shaka idadi ya waliojiandikisha katika daftari la mkaazi kuwa kubwa kuliko idadi ya watu kama ilivyobainishwa katika Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 kitaifa.
Katibu huyo mwenezi kitaifa wa ADA TADEA anasema huko kuhoji idadi ya watu kupitiliza wingi kuliko Sensa ya 2022 ni kujaribu kutengeneza uchochezi, wapinzani tujipange kwa uchaguzi mwingine wa TAMISEMI 2029 kwa kuwa huu wa 2024 hatujajipanga sisi wapinzani...
TOKA MAKTABA:
Soma :
LGE2024 - Viongozi wa CHADEMA Jimbo la Kibamba wanazungumza na wanahabari usiku huu
Fuatilia live https://www.youtube.com/live/U8NqK_TVntc?si=C9W54zLUh1B9opJ2www.jamiiforums.com
LGE2024 - John Mnyika: Takwimu alizotoa Waziri Mchengerwa kuhusu zoezi la uandikishaji wapiga kura ni za uongo!
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo. Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la...www.jamiiforums.com