Katibu Mwenezi anapaswa kuwa na Elimu gani?

Katibu Mwenezi anapaswa kuwa na Elimu gani?

Kwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?

Je, mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
nadhani akiwa na ubongo tu inatosha, hata kama ana vyeti feki.
 
SIFA ZA KUPATA CHEO KWENYE CHAMA:
1.UWE MWEPESI KUMSIFIA SIFIA MWENYEKITI WAKO
2.JITAHIDI SANA KUWAUMIZA WAPINZANI WAKO.

KWA SIFA HIZI TU CHEO UNACHO, ELIMU PELEKA SEKRETARIETI YA AJIRA
Kumbe
 
Vyeti feki kuwa navyo wewe na Mimi, Kama ujapelekwa mbigili gereza gumu bongo kuliko, watu na nyota zao mjini.
 
Hata nape alisemekana pia alifeli fom four na akapewa nafsi hyo ya uenezi na SAS HV ni waziri kamili
 
Back
Top Bottom