Katibu Mwenezi wa CHADEMA wilaya ya Hai alalamikia uamuzi wa Halmashauri Kuu kujitoa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Katibu Mwenezi wa CHADEMA wilaya ya Hai alalamikia uamuzi wa Halmashauri Kuu kujitoa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Besta Mlagila

Senior Member
Joined
May 29, 2018
Posts
101
Reaction score
191
KATIBU mwenezi wa chama cha demokrasia na maendeleo, ndugu humphrey Munisi akihojiwa na waandishi wa habari ametoa malalamiko yake ya kutoridhishwa na uamuzi uliofanya na halmashauri kuu ya chama, kujitoa na kuelekeza wagombea wote kujitoa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa.

Amedai kuwa Chama hakikutenda haki kwani waliogombea walikuwa ni wanachama wa ngazi za chini, ambao wengi walijipanga na walitarajia kushinda, ambapo halmashauri kuu ilifanya uamuzi bila kuwashirikisha kinyuma na misingi ya chama(CHAMA CHA DEMOKRASIA).

Ameendelea kudai kuwa anapigiwa simu na watu wengi wakihoji kwanini wamedhulimiwa haki yao ya kugombea ilihali wamejijenga miaka mitano kuja kufanya kazi, lakini chama kimewaengua.

Amemalizia kwa kutupia lawama zake kwa kamati kuu na kuwaomba kutengua uamuzi wake na kuwaruhusu warudi kugombea na kushindana na CCM.
 
9A7513F8-4FD6-4AD9-8CD6-287583A7B98F.jpeg
 
Mtapata taabu sana ccm a.k.a chama cha kulishana masumu pumbavu. Watanzania tuna Akili za kutosha na hatuyumbishwi na ujinga wenu. Tinataka uchaguzi huru ambao atakaye shinda ameshinda kihalali bila kujali chama gani.
 
Hivi bunge letu lina nguvu ya kuiamuru serikali kuleta mikataba yote serikali imeingia na makampuni ya madini kwa niaba ya wananchi ?
 
Tunamsubiri makonda,Alli happ na Jerry muro waandae watu wa namna hiyo waje kutoa kauli za kuunga mkono....
Tunajua wamejipanga kuwapa pesa baadhi ya wajinga wachache ili kusapoti dhambi ya uchaguzi wa serikali za mitaa
 
Mzee wa Alumna Kawe anasemaje juu ya hili!?
 
CHADEMA ni taasisi kubwa huyu mbwiga mmoja kwa nini hakujirekodi kulalamika wenzake kuondolewa kwenye ugombea na serikali kwa madai fake ya kukosa sifa? Huyo Sabaya atawazalisha wake zao wakiendelea kumchekea kipumbavu...
 
Aache usenge, aende CCM kwenye wagombea 110% waliopita bila kupigwa. Shida yake si wagombea tu. PUMBAVU sana mtoto wa kiume unanunuliwa na mwanaume mwenzio, CHADEMA hutufai kwenda zako kule.
 
KAA HAKUBALIANI NA MISIMAMO YA CHADEMA, AHAMIE CCM WAO HAWAJAJITOA[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
End of script hii ni 2020, ngoja tuone scene mpya kwa season hii ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom