Katibu NECTA, Dkt Said: Tutaongeza somo la Lugha ya Kiarabu na Kifaransa

Katibu NECTA, Dkt Said: Tutaongeza somo la Lugha ya Kiarabu na Kifaransa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Kwanini sio Kichina, ambako tumeona kuna fursa nyingi kwasasa?

==

Dkt Said Mohamed Katibu Baraza la mitihani NECTA

"Jambo jingine tutapima masomo saba badala ya sita kama ilivyokuwa awali na hii tunaongeza masomo ya kigeni ikiwa ni Arabic na lugha ya Kifaransa na mwanafunzi akifika Sekondari kutakuwa na mkondo miwili na somo la Hisabati ni lazima na somo la business study litakuwepo ili mwanafunzi akimaliza kusoma aweze kujifungulia biashara yake asitegemee kuajiriwa na haya ndo mabadiliko yanayotakiwa ili kupunguza tatizo kubwa la wanafunzi ambao hawawezi kujitegemea"
IMG_2884.jpeg
 
Sasa hivi darasa la saba na frm4 wanafanya mitiahani masomo mangapi vile? Mnatuhanzia inzi
 
Kichina kipo tayari na kinafanyiwa mtihani yeye kajichanganya au alisahau
Kwa Tanzania kiingereza ni official language na Sasa ndio wameongeza masomo matatu ambayo ni 1.Kichina 2.Kifaransa 3.Kiarabu
 
Islamic state

Waarabu wenyewe wanakiona kiarabu ni lugha ni local alafu sisi ndo tunaaza kushoboka nacho

Hapo kifaransa kimewekwa tu kama legesha
Yah kifaransa kimewekwa geresha ila target ilikuwa kuweka kiarabu ili kupanua WiGo wa ajira kwa wazenji na kupata walimu wa elimu ya dini ya kiislamu kwenye shule za serikali
 
Wamefanya vizuri kuweka mkondo wa amali na somo la business study.
 
Kuweni wa pole Tunatafuta watu watakao weza kuongea kiarabu na Dp world tuliowaleta nchini
 
Wakuu

Kwanini sio Kichina, ambako tumeona kuna fursa nyingi kwasasa?

==

Dkt Said Mohamed Katibu Baraza la mitihani NECTA

"Jambo jingine tutapima masomo saba badala ya sita kama ilivyokuwa awali na hii tunaongeza masomo ya kigeni ikiwa ni Arabic na lugha ya Kifaransa na mwanafunzi akifika Sekondari kutakuwa na mkondo miwili na somo la Hisabati ni lazima na somo la business study litakuwepo ili mwanafunzi akimaliza kusoma aweze kujifungulia biashara yake asitegemee kuajiriwa na haya ndo mabadiliko yanayotakiwa ili kupunguza tatizo kubwa la wanafunzi ambao hawawezi kujitegemea"
View attachment 3221041
Huo mtaala wa business study unatungwa na nani?
Kama ni hawa wasomi wetu hiyo itakuwa elimu feki tu.
Tunawaona huko TRA wanavyotoza kodi kihuni sana kama vile wote ni sungu sungu wasioenda shule.

Bussines study watafuteni wafanyabuashara wakubwa watoe codes au msome maandiko ya akina Donald Trump,Sio kutuletea balance sheets na upuuzi mwingine kama huo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wakristo ni waoga na wabaguzi sana, kuongezwa kiarabu imekua nongwa.
Kwani mmelazimishwa kusoma? Mbona mnachuki sana nyie?
 
Dk said Muhammed =kiarabu

Hapo kifaransa kimewekwa kama geresha tu.
Sasa sisi kiarabu kitatusaidia nini.
 
Wajukuu wanatakiwa waongee na babu yao aliyeko Oman, hawana ndugu uchina, Zanzibar na Oman ni sawa na Unguja na Pemba, damu damu.
Niliwahi kupendekeza liwepo somo la lugha ya alama ili tuongee na watoto wetu viziwi na vipofu.
 
Back
Top Bottom