Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Watu watawezaje kufanya biashara za tende, kanzu na mafuta bila ya kujua kiarabu?Kwa fursa Gani walizonazo hao waarabu au wakaliman wa dini
Mimi ni mkristo ila naunga mkono ya kuwa kiarabu kifundishwe halaf hilo somo si la lazima mwanafunzi ataamua mwenyewe asome au la. Weka udini mbepeni.