Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Baada ya jana kukamatwa kwa Mwenyekiti wa NETO, leo zimeibuka taarifa kwamba Katibu wa Jumuiua hiyo amekamtwa na Jeshi La Polisi.
Kupitia mtandao wa X, NETO waliandika kwamba:
Katibu NETO Bw. Daniel Edger Mkinga amekamatiwa Kibaha Miembe Saba nyumbani kwake majira ya usiku wa saa tatu kasoro. Waliofika nyumbani kwake kumkamata ni Balozi, Mjumbe na Askari 3 kutoka kituo cha Polisi Maili Moja Kibaha, Pwani.
Taarifa zinadai kwamba Bw. Daniel Edger Mkinga amekamatwa nyumbani kwake, Kibaha Miembe Saba, majira ya usiku wa saa tatu kasoro. Waliotekeleza ukamataji huo ni Balozi wa mtaa, Mjumbe na askari watatu kutoka Kituo cha Polisi Maili Moja, Kibaha, Pwani.
Baada ya jana kukamatwa kwa Mwenyekiti wa NETO, leo zimeibuka taarifa kwamba Katibu wa Jumuiua hiyo amekamtwa na Jeshi La Polisi.
Kupitia mtandao wa X, NETO waliandika kwamba:
Katibu NETO Bw. Daniel Edger Mkinga amekamatiwa Kibaha Miembe Saba nyumbani kwake majira ya usiku wa saa tatu kasoro. Waliofika nyumbani kwake kumkamata ni Balozi, Mjumbe na Askari 3 kutoka kituo cha Polisi Maili Moja Kibaha, Pwani.
Taarifa zinadai kwamba Bw. Daniel Edger Mkinga amekamatwa nyumbani kwake, Kibaha Miembe Saba, majira ya usiku wa saa tatu kasoro. Waliotekeleza ukamataji huo ni Balozi wa mtaa, Mjumbe na askari watatu kutoka Kituo cha Polisi Maili Moja, Kibaha, Pwani.