Pre GE2025 Katibu vijana Taasisi ya Samia for Us, Mandago: Rais Samia amejenga Shule nyingi zaidi kuliko hayati Magufuli

Pre GE2025 Katibu vijana Taasisi ya Samia for Us, Mandago: Rais Samia amejenga Shule nyingi zaidi kuliko hayati Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa Taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miaka minne amejenga shule nyingi zaidi kuliko zilizojengwa na serikali ya awamu ya tano.

"Miaka mitano ya hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye ujenzi wa shule za sekondari alijenga shule 622, ndani ya miaka minne ya Dkt. Samia Suluhu Hassan shule za sekondari zilizojengwa ni 925"
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Back
Top Bottom