Katibu wa Itikadi CCM, Shaka kwa Wasira: Nitaendelea kujifunza ili niwe bora zaidi

Anafanya figisu mnamchekea tu huyo gorilla wakati mahindi bado mabichi shambani, ngoja muone!
 
Kati ya hao wawili ni nani aliyeomba kukutana na mwenzake ?
 
Ukiachana na Siasa Wasira hakuna kingine anakijua...Wasira ni siasa siasa ni Wasira.!

Kuna wakati alifungiwa kugomubea akajaribu kuuza samaki ; akala mtaji hivyo akashindwa kurudisha mkopo wa benki!!! Mzee alichacha mbaya, swahiba wake mkwere akaja kumuokoa!!! Ndio maana mkwere anamtumia sana kupambana na mahasimu zake wa kutoka mikoa ya kanda ya ziwa!!!
 
Wewe ni nyumbu kweri kweri wa Ufipa usiyejua kitu. Hujui kuwa Wassira ni Team Msoga wa kutupwa? Kumnasibisha na JPM ni kuonesha kiwango kikubwa cha ujinga wako.
Dakika ya 80, Team Msoga 4-Team Mwendazake 0
 
Wassira anatafuta nini bado ? Anataka azikwe kitaifa ? Akiwa madarakani? Too much anamtafuta Mama....kwa njia yeyote ile
 
Hilo baba limeenda kufanya nini hapo na kisukari chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…