Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni sehemu ya Serikali?

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni sehemu ya Serikali?

Bususwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
468
Reaction score
1,116
Nipo safari ya kikazi mkoani Tabora,leo nikiwa natoka ofisini kwenda hotelini,niliona magari mengi yamepaki barabarani! Kwa kua sio kawaida hasa kwa Mkoa wa Tabora kua na magari mengi vile,nikawiwa kusogea na kuona kuna nini??

Pale kulikua na Shaka Hamid Shaka! Shaka anatumia magari ya Serikali kwenye ziara yake,Shaka anatumia polisi kwenye msafara wake,ninaposema polisi maana yangu kuna polisi wanasafisha njia kwa mbele,ili Shaka aweze kupita!

Shaka alifunga baadhi ya njia kwa muda aliokua pale! Shaka alikua na mkutano na wananchi, wakati wapinzani wakifanya hivyo,wataambiwa wanavunja sheria za Nchi!

Nauliza hivi Kesho Bwana Mbowe na yeye afunge barabara afanye mikutano yake,si atapigwa mabomu nakupewa kesi ya Uhujumu uchumi?? Serikali kuweni makini sana,kuna kesho pia!
 
Nipo safari ya kikazi mkoani Tabora,leo nikiwa natoka ofisini kwenda hotelini,niliona magari mengi yamepaki barabarani! Kwa kua sio kawaida hasa kwa Mkoa wa Tabora kua na magari mengi vile,nikawiwa kusogea na kuona kuna nini??

Pale kulikua na Shaka Hamid Shaka! Shaka anatumia magari ya Serikali kwenye ziara yake,Shaka anatumia polisi kwenye msafara wake,ninaposema polisi maana yangu kuna polisi wanasafisha njia kwa mbele,ili Shaka aweze kupita!

Shaka alifunga baadhi ya njia kwa muda aliokua pale! Shaka alikua na mkutano na wananchi, wakati wapinzani wakifanya hivyo,wataambiwa wanavunja sheria za Nchi!

Nauliza hivi Kesho Bwana Mbowe na yeye afunge barabara afanye mikutano yake,si atapigwa mabomu nakupewa kesi ya Uhujumu uchumi?? Serikali kuweni makini sana,kuna kesho pia!
Wanabana matumizi ya magari ya umma!!!.......
 
Ndio maana hii nchi kuna mtu alitugeuza mazuzu, matokeo yake UJINGA na Upumbavu umetamalaki nchini, ninaangalia hapo list ya best universities in the world (kuna sifa nyingi za kuwa nazo ili ushinde including uandishi wa tafiti etc etc)naona Africa ni UCT tu in top 300,na SA wana vyuo 9 in top 1000, bado ninachoma data kuona UDSM wapo wapi, mfumo wetu wa kielimu ni wa ovyo kabisa maana budget yetu kubwa ya elimu inaishia kulipa waalimu na maafisa wengine na sio walengwa (wanafunzi),matokeo yake tunazalisha mazuzu tu.
 
Ni serekali Shaka yey ahjui Bei ya mafuta wala nn kila kitu anapewa na ccmm akitoka pale anakuwa tajiri forever

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tukisema CCM ni chama dora muwe mnaelewa hili mbona halihitaji hata kumaliza sekondari ili ulitambue
 
Nipo safari ya kikazi mkoani Tabora,leo nikiwa natoka ofisini kwenda hotelini,niliona magari mengi yamepaki barabarani! Kwa kua sio kawaida hasa kwa Mkoa wa Tabora kua na magari mengi vile,nikawiwa kusogea na kuona kuna nini??

Pale kulikua na Shaka Hamid Shaka! Shaka anatumia magari ya Serikali kwenye ziara yake,Shaka anatumia polisi kwenye msafara wake,ninaposema polisi maana yangu kuna polisi wanasafisha njia kwa mbele,ili Shaka aweze kupita!

Shaka alifunga baadhi ya njia kwa muda aliokua pale! Shaka alikua na mkutano na wananchi, wakati wapinzani wakifanya hivyo,wataambiwa wanavunja sheria za Nchi!

Nauliza hivi Kesho Bwana Mbowe na yeye afunge barabara afanye mikutano yake,si atapigwa mabomu nakupewa kesi ya Uhujumu uchumi?? Serikali kuweni makini sana,kuna kesho pia!
Ndio wenye Ilani inayotekelezwa izo ni "privilege" za Chama Dola. Na nyie CHAUMA pambaneni mpate Dola muonje asali
 
Back
Top Bottom