Katibu wa UVCCM Lulandala ana umri gani? Mbona kama umri umesogea?

Katibu wa UVCCM Lulandala ana umri gani? Mbona kama umri umesogea?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Naona kama Lulandala anaelekea 50yrs ; kwanini kateuliwa kuwa katibu wa UVCCM?

Lakini pia kwanini vijana wa CCM wasijichagulie katibu wao? Lini watapevuka kama hata viongozi watapangiwa?
 
Naona kama Lulandala anaelekea 50yrs ; kwanini kateuliwa kuwa katibu wa UVCCM?

Lakini pia kwanini vijana wa CCM wasijichagulie katibu wao? Lini watapevuka kama hata viongozi watapangiwa?
Picha yake
 
Itakuwa ni agemate wa RC Chalamila huyo!

Amewahi kuwa Mwenyekiti wa CWT Mbeya Jiji enzi zile Chala anashika chaki.
 
Naona kama Lulandala anaelekea 50yrs ; kwanini kateuliwa kuwa katibu wa UVCCM?

Lakini pia kwanini vijana wa CCM wasijichagulie katibu wao? Lini watapevuka kama hata viongozi watapangiwa?
UVVCM ya AWAMU ya 6 hata Miaka 55 RUHUSA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
27770d06f549f928938a51139e94b74e.jpg
 
Ikiwa Masauni alifukuzwa kwa kuongeza miaka mitatu tu , kutoka 30 hadi 33 , iweje katibu awe na miaka 50 ?
kwakweli tumeyapokea malalamiko na ghadhabu binafsi dhidi ya mtu huyu, hasa kutoka kwa ambao soi wana SI SI EMU.

Mnafanya kazi nzuri mno, kwa weledi na umahiri mkubwa sana ya kufuatilia mambo ya taasisi zinazo watawala nchini, hongereni sana.

Ili kujiridhisha, tunaomba muwe wastahimilivu na wenye subra wakati tunashughulikia malalamiko yenu na kujiridhisha kwa haki ikiwe ni kweli kijana huyu ana miaka 34, 49, 50 au 53 kama malalamiko yanavyo wasilishwa , maana umri wake kwenye kadi ya chama unachangamoto dhidi ya cheti cha kuzaliwa, lakini pia kitambulisho chake cha Taifa kina changamoto ya umri dhidi ya kadi ya kupigia kura, kadi ya clinic na leaving certificate ya form4 na form6.

Taarrifa za umri kwenye nyaraka hizo hazisikilizani hata kidogo.
Ndugu wadau, kujiridhisha kwetu kama taasisi hakutaishia hapo,
Tutatizama na kanuni za chama kwa nafasi husika ikiwa zimekiukwa ama la.

Asant kwa uvumilivu wako ...
 
Mwabukusi ameshawapa picha ya vyama vya siasa vya Tanzania na wanachama wake.
 
Ikiwa Masauni alifukuzwa kwa kuongeza miaka mitatu tu , kutoka 30 hadi 33 , iweje katibu awe na miaka 50 ?
Nakumbuka kuna mwaka uchaguzi wao ulisogezwa mbele miezi michache, ili Nape akose sifa za kugombea uenyekiti, kwani ilibaki miezi michache kuuvuka umri wa sifa!
 
Back
Top Bottom