Katika ajali ya ndege Iliyotokea juzi CCM imeonesha kwanini ni Chama Tawala mpaka leo na kwanini CHADEMA imeshindwa hata kupaka rangi ofisi zake

Katika ajali ya ndege Iliyotokea juzi CCM imeonesha kwanini ni Chama Tawala mpaka leo na kwanini CHADEMA imeshindwa hata kupaka rangi ofisi zake

🐒🐒🐒
0AEwD9-.jpeg
QAEIFfP.jpeg
 
Ndugu zangu katika Ajari ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Luka kwa uchawa huo kwa CCM na Rais, usipoambulia hata uWED jambo hili litakuja kukukatisha sana tamaa. Jaribu kuwatafuta akina Bia Yetu et al. wakupe uzoefu.

Kwa CCM niijuayo mimi, usipokuwa karibu na waridi kamwe huwezi kunukia uwaridi. Nakushauri kuanzia leo anza kuweka namba yako ya simu katika nyuzi zako, pengine utaambulia buku tatu ya bando kutoka Lumumba (kama motisha ya buku 7 ya bando bado ipo kwenye kamati ya propaganda).
 
unafikiri tungefika hapa tukiwa imara Kama tungekuwa na vyombo dhaifu?
Ajali inatokea mita 100 ( uwanja wa mpira) airport, wavuvi wenye mitumbwi ya mbao ndiyo wanakuwa wa kwanza kufika eneo la tukio! Viko wapi vyombo imara? Inabidi mtu awajibishwe. Watu wasingekufa, ni uzembe tu.
Lengo lako ilikuwa kusafisha Chama chako, kumbe umekisafisha na brash ya chooni. Umekipaka uchafu
 
Ajali inatokea mita 100 ( uwanja wa mpira) airport, wavuvi wenye mitumbwi ya mbao ndiyo wanakuwa wa kwanza kufika eneo la tukio! Viko wapi vyombo imara? Inabidi mtu awajibishwe. Watu wasingekufa, ni uzembe tu.
Lengo lako ilikuwa kusafisha Chama chako, kumbe umekisafisha na brash ya chooni. Umekipaka uchafu
Uchunguzi utabainisha kila kitu na Kama Kuna mtu hakutekeleza wajibu wake atawajibishwa haraka Sana, Nina Imani na serikali yangu na Sina wasiwasi nayo
 
Jamani tuwekee picha ya huyu juha kwa vile ni identified uer, anajulikana tumuone
Sasa picha itakusaidia Nini mkuu au una lengo gani ambalo umeshindwa kujibu hoja zangu Hadi uanze kutafuta picha zangu, au unataka unifanyie masula Yale mnayofanya kwa kila mtu anayetamani na kuhitaji kigoda Cha Mwenyekiti wenu
 
Ndugu zangu katika Ajari ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
We kvma kweli , bora kama yako angepanua k na kukojoa si kuzaa mbulukenge kama wewe
 
Luka kwa uchawa huo kwa CCM na Rais, usipoambulia hata uWED jambo hili litakuja kukukatisha sana tamaa. Jaribu kuwatafuta akina Bia Yetu et al. wakupe uzoefu.

Kwa CCM niijuayo mimi, usipokuwa karibu na waridi kamwe huwezi kunukia uwaridi. Nakushauri kuanzia leo anza kuweka namba yako ya simu katika nyuzi zako, pengine utaambulia buku tatu ya bando kutoka Lumumba (kama motisha ya buku 7 ya bando bado ipo kwenye kamati ya propaganda).
Tujikite kulitumikia Taifa letu kwa upendo na uzalendo,Vijana Tusipende kutanguliza mbele maslahi binafsi, Tuipende nchi yetu na Tuipiganie kwa dhati ya Mioyo yetu, kwa Sasa CCM na serikali yake Ndio imeonyesha kuwa na uchungu na maisha ya watanzania,hivyo hatuna budi kuiunga mkono CCM pamoja na serikali yake inayoongozwa na mama yetu shupavu mama Samia
 
Ndugu zangu katika Ajari ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Asshole
IMG_20220831_134836.jpg
 
We kvma kweli , bora kama yako angepanua k na kukojoa si kuzaa mbulukenge kama wewe
Namheshimu kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke na kuumbwa kwa mfano wa mwenyezi Mungu,pamoja na matusi uliyonitukana lakini Mimi siwezi kukutukana Bali Nakusamehe na kuomba Mwenyezi Mungu akusamehe pia maana hujuwi ulitendalo, Najuwa naweza nikatofautiana na wewe na bado nikakukosoa kwa heshima na staha bila kukuvunjia heshima, Amani iwe Nawe
 
ndege kuvutwa na kamba inaonyesha ni jinsi gani ambavyo serikali ya ccm imeshindwa kuongoza nchi, kwamba navy wana kazi gani
Uchunguzi utaeleza yote hayo na wa kuwajibika watawajibika, Tuiamini serikali yetu Katika hili
 
Back
Top Bottom