Katika ajali ya ndege Iliyotokea juzi CCM imeonesha kwanini ni Chama Tawala mpaka leo na kwanini CHADEMA imeshindwa hata kupaka rangi ofisi zake

Katika ajali ya ndege Iliyotokea juzi CCM imeonesha kwanini ni Chama Tawala mpaka leo na kwanini CHADEMA imeshindwa hata kupaka rangi ofisi zake

Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa


08 Novemver 2022

Engineer "Wazo Langu Kuhusu Uwanja wa Ndege Bukoba Lilikataliwa"​



Picha: Engineer Mstaafu wa viwanja vya ndege, Bennie Muberwa Mushumbushi

Niliandika andiko na nililiwakilisha wizarani (wizara ya Ujenzi) mwaka 2017 ili kuepukana na matatizo ambayo yangetokea kwenye uwanja ule.

Mimi ni Mzaliwa wa kule (Bukoba) ili kuona kuna kiwanja kizuri cha ndege kwa sababu kuna abiria wengi Sana kule.

Sikupata majibu mazuri lakini walipokea andiko langu na kusema watalifanyia kazi. Kuna wakati nilijiuliza sana na nikasema nafanya tu huduma kwa sababu nina ujuzi wa hivi vitu na hili jambo linaendelea na hakuna mtu anayejali.

Nilikwenda makao Makuu ya Chama CCM, Kagera"

"Nilitaka kuzungumza na Mwenyekiti wa CCM, Kagera alikuwa anasafiri alinipatia Msaidizi wake ili anisaidie tulieleza hali halisi ya uwanja wakasema wao sio wataalamu, wakaniuliza kama nililipeleka hilo jambo mkoani nikasema hapana!

"Nilikwenda kwa Katibu Tawala wa Mkoa (wakati ule) akasema pia na yeye ana wasiwasi juu ya huo uwanja na walishauona na hawajui wafanye nini. Nilipata nafasi ya kuongea na wabunge wawili wa mkoa wa Kagera. Hili suala hadi leo halijafanyiwa kazi"
Engineer Mstaafu wa viwanja vya ndege, Bennie Muberwa Mushumbushi muda wote nimefanya kazi nje ya Tanzania ikiwamo ICAO yaani Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kimataifa
International Civil Aviation Organization
https://icao.int
ICAO
 
08 November 2022

Engineer Mstaafu wa viwanja vya ndege, Bennie Muberwa Mushumbushi, ushauri wangu haujafayiwa kazi kuhusu kiwanja cha ndege Bukoba.


Mhandisi mstaafu viwanja vya ndege, Bennie Muberwa Mushumbushi katika Clouds 360 kuzungumzia sababu za ajali na usalama katika viwanja vya ndege
Source : cloudsmedia
 
Ndugu zangu katika Ajali ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Hongera kwa uandishi wako wa kifasihi mkuu. Ni watu wachache sana watakaokuelewa ndugu yangu. Watu wenye akili kubwa akina Pascal Mayalla , FaizaFoxy , GENTAMYCIME , Erythrocyte , et al ndio watakuelewa tu. 😀 😀 😀 😀 😀
 
Ndugu zangu katika Ajali ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Akili tope umeandika weeh,
 
Ndugu zangu katika Ajali ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Mhhhh kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.

Yangu mim nimefungiwa fupi mno kipind hichi.
 
Ndugu zangu katika Ajali ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

CHADEMA CHADEMA, Hilo tu ndio mnaweza. Na hivi mmeshuka uchumi wa Kati na kurudi kwenye umaskini.
 
Huyu jamaaa, jina lake la ubini lonawadhalilisha ndugu zangu na majirani zangu, ukisoma historia wale watu ni watu wakakamavu, na waongeaji wa kujenga hoja, ni vigumu kukuta wale watu wakisifia ujinga kwa kiwango hiki. Mtoa mada unaonaje ungebadili id ili kulinda heshima ya akina Mwashambwa?
 
Huyu jamaaa, jina lake la ubini lonawadhalilisha ndugu zangu na majirani zangu, ukisoma historia wale watu ni watu wakakamavu, na waongeaji wa kujenga hoja, ni vigumu kukuta wale watu wakisifia ujinga kwa kiwango hiki. Mtoa mada unaonaje ungebadili id ili kulinda heshima ya akina Mwashambwa?
Jenga hoja na jibu hoja kwa hoja na siyo hoja kwa vihoja na viroja
 
Kataa kubali lakini ukweli ni kuwa Lucas Mwashambwa ni member anayedharaulika kuliko wote hapa jf kwa sasa. Sasa kila anayeona thread yake anaidharau na hawasomi tena kwani ni mashudu tupu ya kujikomba kwa Rais. Anaboa sana huyu mtu.
Kupinga pinga kila kitu siyo ushujaa, kosoa na pinga panapohitajika lakini penye ukweli na mema jitahidi kupongeza na kuwa muungwana
 
Back
Top Bottom