Katika ajira hizi mpya za uwalimu, serikali inaitaji walimu 6 tu, Tanzania nzima katika soma la Economics

Katika ajira hizi mpya za uwalimu, serikali inaitaji walimu 6 tu, Tanzania nzima katika soma la Economics

Mmea Jr

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2016
Posts
798
Reaction score
1,871
Kwanza imenibidi nicheke,

Ndugu yangu kaniomba hapa nimpe ushauri hasa ajaze mkoa gani kati ya iringa, morogoro na Dodoma kwa ajili ya oral interview... Yeye ni mwalimu wa Economics, sasa nikamuuliza kwani kwa ujumla mnaitajika walimu wangapi katika hilo somo?

Ndiyo ananiambia kuwa Tanzania nzima ni walimu 6 ndiyo serikali imeadhimia kuwa ajili katika ajira hizi mpya

By the way nimesikitika sana waombaji wa somo hili ni zaidi ya watu 1000, hivyo vijana zaidi ya 994 wanaenda kuchezea pesa zoa katika mchakato huu.
 
Chukua walimu wafungie ukumbini, halafu washindanishe kwa kila mmoja kuandika cover letter na Cv yake akiwa humohumo.

Nakuhakikishia utakachokiona utashangazwa....utachuja maelfu ya interviewees bila jasho..

Wengi wanaweza wasiniamini...wengi hu-Copy na kupaste. Stationery na. Mitandaoni
 
Mwache akafanye tuu interview mbona anaweza kufaulu? Wewe unaangalia wingi wawatu badala ya uwezo wako? Sasa hao wote 900 wakisema hawatakwenda mtaalam atatoka wapi? Acheni kuogopa na kuogopeshana ..ushindani ni mzuri sana na kwenda kwenye usaili ndio njia pekee ya kupata kazi na ukumbuke kuna data base…

Kwa hiyo unataka asubiri nafasi 3000 za walimu wa economics?

Kama ni swala la kupoteza pesa ni lazima upoteze pesa unapotafuta ajira hata ingefanyika hapo kwenu ingekugharimu tuu… wewe unafikiri kwa kuwa nafasi ni 300 ndio atatoboa? Chamsingi mwambie ajiandae vizuri atatoboa tuu!
 
Nini kifanyike au ndio wafungiwe kwanza humo ndani!?
Chukua walimu wafungie ukumbini, halafu washindanishe kwa kila mmoja kuandika cover letter na Cv yake akiwa humohumo.

Nakuhakikishia utakachokiona utashangazwa....utachuja maelfu ya interviewees bila jasho..

Wengi wanaweza wasiniamini...wengi hu-Copy na kupaste. Stationery na. Mitandaoni
 
The employment landscape for university graduates in Sub-Saharan Africa countries like Tanzania is challenging, with a significant disparity between government-created job opportunities and the number of graduates seeking employment.
 
Kwanza imenibidi nicheke,

Ndugu yangu kaniomba hapa nimpe ushauri hasa ajaze mkoa gani kati ya iringa, morogoro na Dodoma kwa ajili ya oral interview... Yeye ni mwalimu wa Economics, sasa nikamuuliza kwani kwa ujumla mnaitajika walimu wangapi katika hilo somo?

Ndiyo ananiambia kuwa Tanzania nzima ni walimu 6 ndiyo serikali imeadhimia kuwa ajili katika ajira hizi mpya

By the way nimesikitika sana waombaji wa somo hili ni zaidi ya watu 1000, hivyo vijana zaidi ya 994 wanaenda kuchezea pesa zoa katika mchakato huu.
Beyond that, bado kuna jambo hujalifahamu mkuu. Hizi ajira zitaendelea kutoka kwa uchache hivyo hivyo, uzuri ni kwamba ukishiriki kikamilifu kwenye mchakato jina lako linaweza kuingia kwenye kanzidata (database) hivyo kupangiwa kituo cha kazi nafasi nyingine zikipatikana bila kufanya usaili tena.

Ila akisema asubiri mpaka zitangazwe nafasi nyingi ndio aombe atasugua sana gaga mtaani. Mwezeshe kwa hali na mali afanye usaili. Ya Mungu mengi mkuu
 
Kwanza imenibidi nicheke,

Ndugu yangu kaniomba hapa nimpe ushauri hasa ajaze mkoa gani kati ya iringa, morogoro na Dodoma kwa ajili ya oral interview... Yeye ni mwalimu wa Economics, sasa nikamuuliza kwani kwa ujumla mnaitajika walimu wangapi katika hilo somo?

Ndiyo ananiambia kuwa Tanzania nzima ni walimu 6 ndiyo serikali imeadhimia kuwa ajili katika ajira hizi mpya

By the way nimesikitika sana waombaji wa somo hili ni zaidi ya watu 1000, hivyo vijana zaidi ya 994 wanaenda kuchezea pesa zoa katika mchakato huu.
Ina umiza. Nichome nauli kwenye Njombe na Sumbawanga alafu nikose hiyo kazi..?
 
Kwanza imenibidi nicheke,

Ndugu yangu kaniomba hapa nimpe ushauri hasa ajaze mkoa gani kati ya iringa, morogoro na Dodoma kwa ajili ya oral interview... Yeye ni mwalimu wa Economics, sasa nikamuuliza kwani kwa ujumla mnaitajika walimu wangapi katika hilo somo?

Ndiyo ananiambia kuwa Tanzania nzima ni walimu 6 ndiyo serikali imeadhimia kuwa ajili katika ajira hizi mpya

By the way nimesikitika sana waombaji wa somo hili ni zaidi ya watu 1000, hivyo vijana zaidi ya 994 wanaenda kuchezea pesa zoa katika mchakato huu.
Umetoa wapi hii taarifa
 
Back
Top Bottom