Katika binadamu wanaonichefua nikiwaona huyu ni mmoja wapo...

Katika binadamu wanaonichefua nikiwaona huyu ni mmoja wapo...

Status
Not open for further replies.
Nalijua hilo,linakaa kinondoni MANYANYA,kuna viijbaa flani linapenda kukaaga na Mashangingi
wenzake,yaani kichefuchefu. Siku moja nimepita likaanza kunshobokea nikatoa 'Mguu wa Kuku'..wacha lijambe.lol


mkuu mguu upi huo wa kuku uliomuonesha mpaka akajamba????au wewe ni mende!!
 
Hapa na story hii Madame B amefikishwa, tena story ya bilaila tena, ngoja nitafute karanga na mkeka wangu kabisa. I wish one day nimuone huyu mdada a.k.a Mrs Mkongomani
 
Last edited by a moderator:
Hivi lini mtajua ku respect people choices and privacy.Amezaliwa hivyo.
 
Hivi lini mtajua ku respect people choices and privacy.Amezaliwa hivyo.

Sorry nna swali, what if your son decide to commit suicide, would you let him do it just because it is his choice?
What if your son is a gay would never say anything about it just simply it is his own privacy and you got to respect it?
From my point of view, hizi mambo zinaenea kwakuwa watu wanajifanya kuwa wamestaarabika ni karne ya 21 kwa ni mambo ya kawaida na uzungu mwingi.
Na vyombo vya habri vimechangia kwa kiasi kikubwa hasa kusambaza haya mambo. Unakuta mfano gazeti la udaku wameweka picha za wasagaji na mashoga, wazinzi wakiwa uchi wamefumaniwa then wanasema eti wanaweka wazi kukomesha tabia wakati kibongo bongo hayo magazeti yanasomwa na anauziwa kila mtu tena unakuta mtu mzima ndiye anamwagiza mtoto wa mika 9 akamnunulie hilo gazeti.
Kuna watu wanazaliwa hivyo sikatai lakini swala la kujiuliza kwanini wameongezeka sana na wanazidi kuwa wengi miaka ya hivi karibuni kuliko huko awali?
 
Hivi lini mtajua ku respect people choices and privacy.Amezaliwa hivyo.

Mbona ulikuwa unamshupalia mtoto wa Magic Johnson kwa namna tofauti?

Huyu kazaliwa hivyo, na Earvin Johnson III jee?

Upo totally irrational na double standards zako, no wonder rep power yako ni zero miaka yote hii...
 
sishangai wewe kumuona handsome sababu kuna wanaomuona beautiful maana wasingekuwepo angeshaacha huo upunga.Mimi bado sina boy, nikiwa naye sitasita kukuonesha.. ila wait a minute..unataka kumfananisha na Bilali..no way.. nimeghairi.
Asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga mawe huyu. Toa boriti kwenye jicho lako ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzio
 
Mambo mengi ni relative katika maisha, moja wapo ni sexuality.

Huyu hakuzaliwa hivyo. What kind of sexuality one eventually acquires in adulthood boils down to a combination of genetic and environmental factors one gets to experience during childhood and adolescence life.

Kwa wengine ambao environmental influences zimepiku, inakuwa a very fine line to cross.

Siyo ajabu kuona wanaume ambao in all outward appearances wanaonekana kuwa ni straight, lakini wana homosexual tendencies and practices in their active sexual lives.
 
Mungu ingilia kati duhhhh!!!!


Aingilie kati kivipi wakati kila kitu ni mpango wa Mungu?
So hata huyo Bilal kuwa Punga ni mpango wa Mungu.
Acheni kumsingizia Shetani kila baya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom