Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweni mtu akiomba kupumzika mjadala ni wa nini sasa? Nyie kila kitu na majadiliano tu yasiyo na faidaView attachment 2335710
Je,, ni kweli IGP anaumwa?
Au, bado ni vuta nikuvute ya uchaguzi?
Na ni nani yuko nyuma ya movie hii? Ni Ruto (mhangaikaji) ama Odinga (mtoto wa mboga 7)?
Mbona na wewe unajadili Sasa?Kweni mtu akiomba kupumzika mjadala ni wa nini sasa? Nyie kila kitu na majadiliano tu yasiyo na faida
Mbona na wewe pia unahoji hoja isiyo na hoja?Sasa mtu kashasema yeye anaumwa na Bado unahoji..kuna mtu ambaye hajui kuumwa Kunavyokuwa..Homa TU hata kuku au wali hauonogi..je Kama maradhi
Yaani hii kitu hatari.Chebukati atabakia peke yake
wacha tuoneUchaguzi ulikuwa na msisimko sana tuendelee kusubiri nini kitatokea.