Katika hali isiyokuwa ya kawaida IGP wa Kenya aomba kupumzika kwa muda

Katika hali isiyokuwa ya kawaida IGP wa Kenya aomba kupumzika kwa muda

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
20220826_192104.jpg


Je,, ni kweli IGP anaumwa?

Au, bado ni vuta nikuvute ya uchaguzi?

Na ni nani yuko nyuma ya movie hii? Ni Ruto (mhangaikaji) ama Odinga (mtoto wa mboga 7)?
 
Sasa mtu kashasema yeye anaumwa na Bado unahoji..kuna mtu ambaye hajui kuumwa Kunavyokuwa..Homa TU hata kuku au wali hauonogi..je Kama maradhi
Mbona na wewe pia unahoji hoja isiyo na hoja?
 
Uchaguzi ulikuwa na msisimko sana tuendelee kusubiri nini kitatokea.
 
Back
Top Bottom